Hii story ni mwisho
ram niiaje?
Huyu Jamila namlainisha na limbwata tu!
Ha ha ha! Kweli, Kwanza sidhani hata kama jamaa yupo au alishahamia mbele ya sayari ya Pluto!
^^
Himidini kabisa aise maana kuna watu wanakamatwa ugoni wanasingizia shetani mafisadi nao wanasingizia shetani yaani shetani huko aliko nafikiri anapata pressure kabisa kuona haya
Ha ha akijitokeza atakana wengi sana.. Kwenye dini huko wanakomkemea ndo usiombe, pamegeuka chaka la hirizi zinazopumua, mwamvuli wa wezi, kinga ya usaliti..
INATIA HASIRA SANA.. Yaani hulka na silka zetu kuzibatiza majina ya excuse!
^^
Mkuu Dini siku hizi ni biashara inayolipa sana na ukishajua mistari miwili mitatu wewe kaanzishe lako na jua kunena kwa lugha na kuomba kwa sauti na kupunguza sauti umepata waumini na wewe unakuwa ni mheshimiwa sana baba dr, nabii, mtume, mpakwa mafuta vyeo vyote jipe huku kwapani una hirizi au una sharti kutoka kwa mganga wako wa Nigeria