Rivers United vs Young Africans(1-0) | CAFCL

Mozu1991

JF-Expert Member
Feb 14, 2013
493
427
Habarin wadau, hivi hi mechi kati ya River United na Yanga itaoneshwa chanel gani?

=======

Mechi kamishna Sulley Camara kutoka Sierra Leone amewaruhusu Yanga wacheze wote kwa kuwa hakuna cheti kuhalalisha kuwa wamekutwa na corona.

Mpira umeanza kati ya Rivers United na Yanga

28' Rivers United 0-0 Yanga SC

40' Milango bado migumu kwa timu zote

45' Mpira umeenda mapumziko, Rivers UTD 0-0 Yanga

FT: Rivers United 1-0 Yanga SC (Aggr: 2-0)

Yanga.JPG
 
Rivers United wamegoma kurushwa kwa matangazo ya moja kwa moja. Labda Yanga wenyewe waamue kujiongeza kwa kurusha kupitia mitandao ya kijamii kama walivyofanya Simba kwenye mechi yao dhidi ya plateau United msimu uliopita
 
Rivers United wamegoma kurushwa kwa matangazo ya moja kwa moja. Labda Yanga wenyewe waamue kujiongeza kwa kurusha kupitia mitandao ya kijamii kama walivyofanya Simba kwenye mechi yao dhidi ya plateau United msimu uliopita
Wanaogopa kuchekwa vile wanakazana kupindua meza inawashinda
 
Tupeane update hii mechi haioneshwina kituo chochote cha kurusha matangazo

=======

Mechi kamishna Sulley Camara kutoka Sierra Leone amewaruhusu Yanga wacheze wote kwa kuwa hakuna cheti kuhalalisha kuwa wamekutwa na corona.

Mpira umeanza kati ya Rivers United na Yanga

28' Rivers United 0-0 Yanga SC

40' Milango bado migumu kwa timu zote

45' Mpira umeenda mapumziko, Rivers UTD 0-0 Yanga

FT: Rivers United 1-0 Yanga SC (Aggr: 2-0)

Yanga.JPG
 
Back
Top Bottom