Mozu1991
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 493
- 427
Habarin wadau, hivi hi mechi kati ya River United na Yanga itaoneshwa chanel gani?
=======
Mechi kamishna Sulley Camara kutoka Sierra Leone amewaruhusu Yanga wacheze wote kwa kuwa hakuna cheti kuhalalisha kuwa wamekutwa na corona.
Mpira umeanza kati ya Rivers United na Yanga
28' Rivers United 0-0 Yanga SC
40' Milango bado migumu kwa timu zote
45' Mpira umeenda mapumziko, Rivers UTD 0-0 Yanga
FT: Rivers United 1-0 Yanga SC (Aggr: 2-0)
=======
Mechi kamishna Sulley Camara kutoka Sierra Leone amewaruhusu Yanga wacheze wote kwa kuwa hakuna cheti kuhalalisha kuwa wamekutwa na corona.
Mpira umeanza kati ya Rivers United na Yanga
28' Rivers United 0-0 Yanga SC
40' Milango bado migumu kwa timu zote
45' Mpira umeenda mapumziko, Rivers UTD 0-0 Yanga
FT: Rivers United 1-0 Yanga SC (Aggr: 2-0)