RITA mlituletea huduma mtandao mkiwa na lengo la kupunguza foleni katika maofisi yenu, huduma hii ya online ni mbovu mno

Jumanne Mwita

JF-Expert Member
Nov 18, 2014
408
1,032
Kwanza kabisa ningependa kujua uwepo wenu humu kama mpo au hampo na kama mpo mje mtupe majibu kwanini huduma hii ni mbovu hivi?

Ubunifu huu nauunga mkono wa kuji-hudumia au kuomba vyeti Online ila shida inayowakumba waombaji ni kubwa mno kuliko raha wanayopata baadhi.

Mwaka huu ulivyo anza nilienda kuuliza utaratibu ulivyo wa kuomba vyeti vya kuzaliwa jinsi ulivyo katika Ofisi za RITA MASWA na kupewa maelekezo kama yafuatayo.

Wakasema wao kwa sasa hawa hudumii pale ofisini, wakasema nirudi nitafute Stationary wao wanajua namna ya kutuma maombi online, hawapokei chochote isipokuwa siku naenda kuchukua cheti baada ya kuomba kupitia mtandao niende na fomu ambayo ilitolewa na RITA online.

Nilifanya kama walivyo nielekeza, nimefanya kila kitu na nimetuma maombi hayapungui 6+
microsoft_edge_screenshot_7 Feb 2022 17_57_33 GMT+03_00.png.png
mpaka sasa nikiwa na mashaka labda niliyotuma ya kwanza niliikosea ngoja nirudie natuma tena nyingine mpaka zimefika zote hizo katika maombi hayo yote
microsoft_edge_screenshot_7 Feb 2022 17_54_13 GMT+03_00.png.png
control namba imekuwa ni kizungumkuti ili nilipie nijue napata cheti au namapungufu lakini hayo yote nimebaki nayo mwenyewe mpaka sasa maana sielewi chochote.

Maombi nimetuma Tarehe 4/2/2022 leo tena nimetuma maombi Tar 7/2/2022 napo bado mambo ni yaleyale kama kuna sehemu nakosea kwanini msipokee hata simu yenu ya huduma kwa wateja 0800117482 ni pambo maana haipokelewi zaidi inafikia hatua ya mtoa huduma kuongea inajikata tutawaelezeaje yanayotukuta huku?

Na simu nazo hampokei mnakata huduma hii imekuwa mbovu matatizo yawatu nimengi kila kukicha mmefanya hivi kupunguzs msongamango wa watu na huduma ndio hii mnayotupa jazi ipo nchi hii. Na ni tatizo sana kwa watu wengi ambao hawana uelewa na hivi vitu vya mtandao.

Mimi ni mmoja wa watanzania ambao nimeteseka kwa muda mchache bila kupata msaada wa haraka, na hicho cheti kina mambo mengi ya kukifanyia.

Ahsanteni kama mnasoma ujumbe huu nafikili tutakuwa tumeelewana nini kinawasibu watu wengi.
 
Mimi nimetuma maombi ya cheti cha mwanangu zaidi ya mara tatu na mara zote hizo nimekatwa zaidi ya Tsh. 16,000/= naambiwa mara Kadi siyo original napiga simu zao ni feki naona Rita walikua hawajajipanga kutuhudumia kwa njia ya mtandao watuambie Kama ni kweli wapo online au la ninahisi ni Kama utapeli. Ombi langu kwao ni kwamba kama umetuma ombi la cheti na umelipia ikionekana ombi lako limekataliwa basi pesa irudishwe kwa sababu kinacholipiwa pale ni cheti Sasa cheti sijapata na hela nimekatwa tafsiri yake ni Nini, ninaomba pia wapokee simu yao waliyoweka hewani.
 
Umezaliwa mwaka gani rafiki?
Inshu siyo kuzaliwa mwaka gani kwani uombaji wa cheti cha kuzaliwa una-umri?

Naweza kuwa naomba changu au cha mwanagu vyote vinawezekana hakuna mahala wanakataza na sheria haikatazi.

Shida ni wao kutupa huduma mbovu
 
Mimi nimetuma maombi ya cheti cha mwanangu zaidi ya mara tatu na mara zote hizo nimekatwa zaidi ya Tsh. 16,000/= naambiwa mara Kadi siyo original napiga simu zao ni feki naona Rita walikua hawajajipanga kutuhudumia kwa njia ya mtandao watuambie Kama ni kweli wapo online au la ninahisi ni Kama utapeli. Ombi langu kwao ni kwamba kama umetuma ombi la cheti na umelipia ikionekana ombi lako limekataliwa basi pesa irudishwe kwa sababu kinacholipiwa pale ni cheti Sasa cheti sijapata na hela nimekatwa tafsiri yake ni Nini, ninaomba pia wapokee simu yao waliyoweka hewani.
Shida sana hawa watu
 
Inshu siyo kuzaliwa mwaka gani kwani uombaji wa cheti cha kuzaliwa una-umri?

Naweza kuwa naomba changu au cha mwanagu vyote vinawezekana hakuna mahala wanakataza na sheria haikatazi.

Shida ni wao kutupa huduma mbovu
Umeleta hapa ili usaidiwe halafu unajibu jeuri, sivyo? Pambana na hali yako sasa.
 
Kwanza kabisa ningependa kujua uwepo wenu humu kama mpo au hampo na kama mpo mje mtupe majibu kwanini huduma hii ni mbovu hivi?

Ubunifu huu nauunga mkono wa kuji-hudumia au kuomba vyeti Online ila shida inayowakumba waombaji ni kubwa mno kuliko raha wanayopata baadhi.

Mwaka huu ulivyo anza nilienda kuuliza utaratibu ulivyo wa kuomba vyeti vya kuzaliwa jinsi ulivyo katika Ofisi za RITA MASWA na kupewa maelekezo kama yafuatayo.

Wakasema wao kwa sasa hawa hudumii pale ofisini, wakasema nirudi nitafute Stationary wao wanajua namna ya kutuma maombi online, hawapokei chochote isipokuwa siku naenda kuchukua cheti baada ya kuomba kupitia mtandao niende na fomu ambayo ilitolewa na RITA online.

Nilifanya kama walivyo nielekeza, nimefanya kila kitu na nimetuma maombi hayapungui 6+ View attachment 2111592mpaka sasa nikiwa na mashaka labda niliyotuma ya kwanza niliikosea ngoja nirudie natuma tena nyingine mpaka zimefika zote hizo katika maombi hayo yoteView attachment 2111606 control namba imekuwa ni kizungumkuti ili nilipie nijue napata cheti au namapungufu lakini hayo yote nimebaki nayo mwenyewe mpaka sasa maana sielewi chochote.

Maombi nimetuma Tarehe 4/2/2022 leo tena nimetuma maombi Tar 7/2/2022 napo bado mambo ni yaleyale kama kuna sehemu nakosea kwanini msipokee hata simu yenu ya huduma kwa wateja 0800117482 ni pambo maana haipokelewi zaidi inafikia hatua ya mtoa huduma kuongea inajikata tutawaelezeaje yanayotukuta huku?

Na simu nazo hampokei mnakata huduma hii imekuwa mbovu matatizo yawatu nimengi kila kukicha mmefanya hivi kupunguzs msongamango wa watu na huduma ndio hii mnayotupa jazi ipo nchi hii. Na ni tatizo sana kwa watu wengi ambao hawana uelewa na hivi vitu vya mtandao.

Mimi ni mmoja wa watanzania ambao nimeteseka kwa muda mchache bila kupata msaada wa haraka, na hicho cheti kina mambo mengi ya kukifanyia.

Ahsanteni kama mnasoma ujumbe huu nafikili tutakuwa tumeelewana nini kinawasibu watu wengi.
Naomba serikali itusaidie
 
Back
Top Bottom