risult slip bila cheti

Beautifullgirl

Senior Member
Feb 28, 2013
100
15
hi,naomba kufahamu kwaanae fahamu hili swala,nilifanya mtihani wa form four kam private candidate nikafanya masomo matatu nikafaul somo moja nililokua nikilihitaji ilikua mwaka 2008 je naweza kupata cheti?result slip nimepata lakini cheti hakionekni je nitapata au ntapata resultslip tu?
 
Cheti kupata ni mpaka ufanye masomo 7 (Basic subjects) so kama umefanya pungufu na hapo basi cheti hupati sababu wanajua una cheti tayar cha mtihan wako wa kwanza.
 
Cheti kupata ni mpaka ufanye masomo 7 (Basic subjects) so kama umefanya pungufu na hapo basi cheti hupati sababu wanajua una cheti tayar cha mtihan wako wa kwanza.

Asante sana,je hii credit moja niliyoipata itanisaidia vipi?au ndio basi tena?
 
Asante sana,je hii credit moja niliyoipata itanisaidia vipi?au ndio basi tena?

Hiyo credit moja ina thamani bado, Kama mwanzo ulikuwa nazo nyingine 2 basi ukijumlisha na hiyo jumla zinakuwa 3 so unatakiwa hiyo result slip uwe unaambatanisha na cheti cha kwanza kwa kila pale utakapokuwa unataka kuapply chuo au school kwa hiyo inakubalika na ndio utaratibu ulivyo.
 
Cheti kupata ni mpaka ufanye masomo 7 (Basic subjects) so kama umefanya pungufu na hapo basi cheti hupati sababu wanajua una cheti tayar cha mtihan wako wa kwanza.

hapana wewe ni muongo cheti unapata hata kama umefanya somo moja na ukafaulu. Cheti cha awal hakina uhusiano wowote na cheti kipya sawa ndugu?
 
Asante sana,je hii credit moja niliyoipata itanisaidia vipi?au ndio basi tena?

cheti utapata dogo huyo anakudanganya kabisa kwani umefanya mtihani mwaka gani?? Coz cheti kinatoka baada ya mwaka mmoja kama hujakipata kifuatilie baraza huenda vilitumwa posta alaf wewe hukwenda kukichukua so posta wakakirudisha necta .kifuatilie kwan result slip huwa inaexpire upo hapo?
 
cheti utapata dogo huyo anakudanganya kabisa kwani umefanya mtihani mwaka gani?? Coz cheti kinatoka baada ya mwaka mmoja kama hujakipata kifuatilie baraza huenda vilitumwa posta alaf wewe hukwenda kukichukua so posta wakakirudisha necta .kifuatilie kwan result slip huwa inaexpire upo hapo?

Asante sana nilifanya mtihani mwaka 2008 mpaka sasa vimetoka na niliandika box la kituo nilichorisiti mtihani ndio cheti kinifikie hapo lakin chakushangaza wameangalia na kunijibu cheti hakuna so sijajua wamepoteza wao au kwasababu nimepata pass moja ndio cheti sitapata
 
hapana wewe ni muongo cheti unapata hata kama umefanya somo moja na ukafaulu. Cheti cha awal hakina uhusiano wowote na cheti kipya sawa ndugu?

Acha bangi zako bwana mdogo, Mi naongea kitu ambacho nimedeclare interest kutoka kwa watu wa karibu sana(Mdogo wangu naye alirisiti mwaka juz 2010 masomo 5)
Hayo niliyoyasema ndio ukweli halisi na waliofanya hivyo ni baraza sasa sijui wewe unaongea kwa kujifurahisha 2.
 
cheti utapata dogo huyo anakudanganya kabisa kwani umefanya mtihani mwaka gani?? Coz cheti kinatoka baada ya mwaka mmoja kama hujakipata kifuatilie baraza huenda vilitumwa posta alaf wewe hukwenda kukichukua so posta wakakirudisha necta .kifuatilie kwan result slip huwa inaexpire upo hapo?

Asante sana nilifanya mtihani mwaka 2008 mpaka sasa vimetoka na niliandika box la kituo nilichorisiti mtihani ndio cheti kinifikie hapo lakin chakushangaza wameangalia na kunijibu cheti hakuna so sijajua wamepoteza wao au kwasababu nimepata pass moja ndio cheti sitapata
 
Acha bangi zako bwana mdogo, Mi naongea kitu ambacho nimedeclare interest kutoka kwa watu wa karibu sana(Mdogo wangu naye alirisiti mwaka juz 2010 masomo 5)
Hayo niliyoyasema ndio ukweli halisi na waliofanya hivyo ni baraza sasa sijui wewe unaongea kwa kujifurahisha 2.

wewe ndo bangi unasikia bwana! Mimi ni mwalimu na shuleni kwetu kuna kituo cha private candidate sawa kijana?? Na mimi nipo ofisi ya taaluma na ninashuhulika na hayo mambo kama mdogo wako alifeli hawezi kupata cheti sawa?? Na kama alifaulu fuatilia cheti hcho coz risult slip inaexpire kwanza kama alifanya 2010 bac result slip imekwisha expire so kwa ushaur wangu mwambie dogo afuatilie hicho cheti necta au kituo alichofanyia mtihani.
Ushauri wangu kwako. Acha ubishi dogo kama hujui uliza kwa ushaur zaid nitafute hapa 0765164434.
 
Asante sana nilifanya mtihani mwaka 2008 mpaka sasa vimetoka na niliandika box la kituo nilichorisiti mtihani ndio cheti kinifikie hapo lakin chakushangaza wameangalia na kunijibu cheti hakuna so sijajua wamepoteza wao au kwasababu nimepata pass moja ndio cheti sitapata

kwan masomo mengne ulipataje? Kwan kwenye result slip wameandikaje PASS OR FAIL??
 
wewe ndo bangi unasikia bwana! Mimi ni mwalimu na shuleni kwetu kuna kituo cha private candidate sawa kijana?? Na mimi nipo ofisi ya taaluma na ninashuhulika na hayo mambo kama mdogo wako alifeli hawezi kupata cheti sawa?? Na kama alifaulu fuatilia cheti hcho coz risult slip inaexpire kwanza kama alifanya 2010 bac result slip imekwisha expire so kwa ushaur wangu mwambie dogo afuatilie hicho cheti necta au kituo alichofanyia mtihani.
Ushauri wangu kwako. Acha ubishi dogo kama hujui uliza kwa ushaur zaid nitafute hapa 0765164434.

Mkuu basi huenda kweli upo sahihi Lakini Dogo Alipata B 1, C 3, na F 1 lakin mpaka leo cheti hakupewa na hayo niliyoyasema hapo juu ni maelezo aliyopatiwa.
 
Mkuu basi huenda kweli upo sahihi Lakini Dogo Alipata B 1, C 3, na F 1 lakin mpaka leo cheti hakupewa na hayo niliyoyasema hapo juu ni maelezo aliyopatiwa.

. Na kwa matokeo hayo hapo cheti anapata kabisa ndugu yangu nakushaur umwambie bwana mdogo afuatilie hicho cheti baraza na aende na kitambulisho kinachomtambulisha bila kusahau result slip ili wamuamini zaidi.NASHUKURU KWA KUNIELEWA.
 
. Na kwa matokeo hayo hapo cheti anapata kabisa ndugu yangu nakushaur umwambie bwana mdogo afuatilie hicho cheti baraza na aende na kitambulisho kinachomtambulisha bila kusahau result slip ili wamuamini zaidi.NASHUKURU KWA KUNIELEWA.

Hapo nimekupata basi pamoja mkuu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom