Ukombozi Sasa
Member
- Nov 5, 2010
- 17
- 10
Watanzania imefika wakati kusema sasa inatosha, Kikwete siyo rais wetu, miaka mitano inayokuja ni mateso mateso-mateso, huyu mtu akubali kashindwa nchi, hakuna analofanya watanzania. Lipi jema kafanya.. Huyu ni dikteta wala hilo halina ubishi wowote. Watanzania tutanyanyaswa na kupigwa, polisi watatuua bila hatia, kama walivyofanya Arusha. Tunahitaji tu neema za mungu..this guy is rising Dictactor in Africa, anajaribu kufuata nyayo za Gabo, Museveni, Mugabe , Bashir..
Tunachohitaji ni kudai haki yetu bila woga, tumeliona hilo Arusha, kuwa tukisimama kidete tutashinda ukatili wake. Watanzania tusione haya wala woga kudai haki. Ndiyo watatuua lakini mwisho wa yote tutashinda. Ukatili wa Kikwete lazima upingwe kwa nguvu ya umma. Tusimame kudai haki yetu. Huu ni mwanzo tu wa mapambano lazima huyu Kikwete aondoke na CCM yake 2015.
Tusihishe Arusha, kwa maana kwa sasa watu wamezidi kuyaona manyanyaso ya CCM, kwa wanaharakati wenzangu huu ni mwanzo wa kudai uhuru kamili.
Manyanyaso ya Polisi ndiyo yamefika mwisho hawawezi kutupiga mabomu kila wakati..Hakika tutashinda. Shukrani kwa wale wote waliojitoa kudai haki mjini Arusha. Aksanteni.
Tunachohitaji ni kudai haki yetu bila woga, tumeliona hilo Arusha, kuwa tukisimama kidete tutashinda ukatili wake. Watanzania tusione haya wala woga kudai haki. Ndiyo watatuua lakini mwisho wa yote tutashinda. Ukatili wa Kikwete lazima upingwe kwa nguvu ya umma. Tusimame kudai haki yetu. Huu ni mwanzo tu wa mapambano lazima huyu Kikwete aondoke na CCM yake 2015.
Tusihishe Arusha, kwa maana kwa sasa watu wamezidi kuyaona manyanyaso ya CCM, kwa wanaharakati wenzangu huu ni mwanzo wa kudai uhuru kamili.
Manyanyaso ya Polisi ndiyo yamefika mwisho hawawezi kutupiga mabomu kila wakati..Hakika tutashinda. Shukrani kwa wale wote waliojitoa kudai haki mjini Arusha. Aksanteni.