Rising Dictactor in Africa: Jakaya Mrisho Kikwete

Ukombozi Sasa

Member
Nov 5, 2010
17
10
Watanzania imefika wakati kusema sasa inatosha, Kikwete siyo rais wetu, miaka mitano inayokuja ni mateso –mateso-mateso, huyu mtu akubali kashindwa nchi, hakuna analofanya watanzania. Lipi jema kafanya.. Huyu ni dikteta wala hilo halina ubishi wowote. Watanzania tutanyanyaswa na kupigwa, polisi watatuua bila hatia, kama walivyofanya Arusha. Tunahitaji tu neema za mungu..this guy is rising Dictactor in Africa, anajaribu kufuata nyayo za Gabo, Museveni, Mugabe , Bashir..
Tunachohitaji ni kudai haki yetu bila woga, tumeliona hilo Arusha, kuwa tukisimama kidete tutashinda ukatili wake. Watanzania tusione haya wala woga kudai haki. Ndiyo watatuua lakini mwisho wa yote tutashinda. Ukatili wa Kikwete lazima upingwe kwa nguvu ya umma. Tusimame kudai haki yetu. Huu ni mwanzo tu wa mapambano lazima huyu Kikwete aondoke na CCM yake 2015.
Tusihishe Arusha, kwa maana kwa sasa watu wamezidi kuyaona manyanyaso ya CCM, kwa wanaharakati wenzangu huu ni mwanzo wa kudai uhuru kamili.
Manyanyaso ya Polisi ndiyo yamefika mwisho hawawezi kutupiga mabomu kila wakati..Hakika tutashinda. Shukrani kwa wale wote waliojitoa kudai haki mjini Arusha. Aksanteni.
 
Watanzania imefika wakati kusema sasa inatosha, Kikwete siyo rais wetu, miaka mitano inayokuja ni mateso –mateso-mateso, huyu mtu akubali kashindwa nchi, hakuna analofanya watanzania. Lipi jema kafanya..

Wewe vipi? Anajiahidi kufanya anayoweza kufanya vizuri. Kwa mfano tangu achaguliwe amefanya mambo 7 muhimu kwa Taifa letu yafuatayo:
1. Kuandaa birhday party ya wife kutimiza miaka 47
2. Kuonyeshwa noti mpya na Gavana
3. Kutoa mbuzi, mchele na mafuta ya kupikia kwa watoto wasiyojiweza wakati wa Christmas
4. Kuandaa party ya mwaka mpya kwa mabalozi
5. Kuhudhuria sherehe ya mke wa Riz1 kuwa advocate
6. Kuhudhuria birthday party ya Msuya
7. Kuhudhuria Mazishi ya Bw. Musiba

Kweli anajitahidi jamani kwa kiasi chake. Tumuunge mkono, maana anaongoza mamlaka iliyowekwa na Mungu (kama walivyowahi kusema Makamba, Mengi na Kilaini).
 
Watanzania imefika wakati kusema sasa inatosha, Kikwete siyo rais wetu, miaka mitano inayokuja ni mateso –mateso-mateso, huyu mtu akubali kashindwa nchi, hakuna analofanya watanzania. Lipi jema kafanya.. Huyu ni dikteta wala hilo halina ubishi wowote. Watanzania tutanyanyaswa na kupigwa, polisi watatuua bila hatia, kama walivyofanya Arusha. Tunahitaji tu neema za mungu..this guy is rising Dictactor in Africa, anajaribu kufuata nyayo za Gabo, Museveni, Mugabe , Bashir..
Tunachohitaji ni kudai haki yetu bila woga, tumeliona hilo Arusha, kuwa tukisimama kidete tutashinda ukatili wake. Watanzania tusione haya wala woga kudai haki. Ndiyo watatuua lakini mwisho wa yote tutashinda. Ukatili wa Kikwete lazima upingwe kwa nguvu ya umma. Tusimame kudai haki yetu. Huu ni mwanzo tu wa mapambano lazima huyu Kikwete aondoke na CCM yake 2015.
Tusihishe Arusha, kwa maana kwa sasa watu wamezidi kuyaona manyanyaso ya CCM, kwa wanaharakati wenzangu huu ni mwanzo wa kudai uhuru kamili.
Manyanyaso ya Polisi ndiyo yamefika mwisho hawawezi kutupiga mabomu kila wakati..Hakika tutashinda. Shukrani kwa wale wote waliojitoa kudai haki mjini Arusha. Aksanteni.

well.the dictactor we had is dead alraedy probably burn in hell.you should be thankfull to have your freedom of speech thats why no one stop you to write huu utumbo hapa jamii forum.mchonga meno kaongoza nchi miaka chungu nzima hakuna moja alofanya zaidi ya udikteta na kutuweka na njaa nakumba enzi zake kama utaandika negative comment kuhusu serikali basi utaishia jela.
 
Wewe vipi? Anajiahidi kufanya anayoweza kufanya vizuri. Kwa mfano tangu achaguliwe amefanya mambo 7 muhimu kwa Taifa letu yafuatayo:
1. Kuandaa birhday party ya wife kutimiza miaka 47
2. Kuonyeshwa noti mpya na Gavana
3. Kutoa mbuzi, mchele na mafuta ya kupikia kwa watoto wasiyojiweza wakati wa Christmas
4. Kuandaa party ya mwaka mpya kwa mabalozi
5. Kuhudhuria sherehe ya mke wa Riz1 kuwa advocate
6. Kuhudhuria birthday party ya Msuya
7. Kuhudhuria Mazishi ya Bw. Musiba

Kweli anajitahidi jamani kwa kiasi chake. Tumuunge mkono, maana anaongoza mamlaka iliyowekwa na Mungu (kama walivyowahi kusema Makamba, Mengi na Kilaini).

he, we jamaa msahaulifu hivyo? Yaani mambo saba tu?.mbona mi naona yapo mengi?
8.alihudhuria mechi ya taifa staz na moroco
9,kawaandalia mabalozi pary ya new year
10,KAENDA KUBEMBEA JAMaika
11.kaenda kutambika
12.kaenda marekani kucheki basketball
13. Kaenda marekani kupiga picha na hasheem
14,kamualika hasheem ikulu
15.kapiga picha na toto tundu
16,mengine mengi tu .
 
This guy cannot be a dictator. Dictators (from the word dictate) have their own principles, vision, and straight forward way of governing. I am sure most of us have no idea what this guy can do or his way forward. The only thing I know about him is his big smile and he is the most traveled prez we ever had.

So please find him another title because I am not sure that he can fill those shoes. He is just ONE BIG .........
 
This guy cannot be a dictator. Dictators (from the word dictate) have their own principles, vision, and straight forward way of governing. I am sure most of us have no idea what this guy can do or his way forward. The only thing I know about him is his big smile and he is the most traveled prez we ever had.

So please find him another title because I am not sure that he can fill those shoes. He is just ONE BIG .........

so let call him vasco da gamaaaa
 
ukimuita dictator ni sifa kubwa saana yeye ni mswahili asiyejua majukumu yake
 
he, we jamaa msahaulifu hivyo? Yaani mambo saba tu?.mbona mi naona yapo mengi?
8.alihudhuria mechi ya taifa staz na moroco
9,kawaandalia mabalozi pary ya new year
10,KAENDA KUBEMBEA JAMaika
11.kaenda kutambika
12.kaenda marekani kucheki basketball
13. Kaenda marekani kupiga picha na hasheem
14,kamualika hasheem ikulu
15.kapiga picha na toto tundu
16,mengine mengi tu .

Umesahau alivoenda kuzindua kaburi la 1st Lady wa Malawi..... hii kali ya mwaka.
 
he, we jamaa msahaulifu hivyo? Yaani mambo saba tu?.mbona mi naona yapo mengi?
8.alihudhuria mechi ya taifa staz na moroco
9,kawaandalia mabalozi pary ya new year
10,KAENDA KUBEMBEA JAMaika
11.kaenda kutambika
12.kaenda marekani kucheki basketball
13. Kaenda marekani kupiga picha na hasheem
14,kamualika hasheem ikulu
15.kapiga picha na toto tundu
16,mengine mengi tu .

17. Kampokea kijana aliyeendesha baiskeli kutoka Geita mpaka Ikulu kumpongeza kwa ushindi
 
Na hadi anamaliza mda wake atakuwa amesha vunja rekodi nakwambia,sema tu ana ng'ata na kupuliza
 
Watanzania imefika wakati kusema sasa inatosha, Kikwete siyo rais wetu, miaka mitano inayokuja ni mateso mateso-mateso, huyu mtu akubali kashindwa nchi, hakuna analofanya watanzania. Lipi jema kafanya.. Huyu ni dikteta wala hilo halina ubishi wowote. Watanzania tutanyanyaswa na kupigwa, polisi watatuua bila hatia, kama walivyofanya Arusha. Tunahitaji tu neema za mungu..this guy is rising Dictactor in Africa, anajaribu kufuata nyayo za Gabo, Museveni, Mugabe , Bashir..
Tunachohitaji ni kudai haki yetu bila woga, tumeliona hilo Arusha, kuwa tukisimama kidete tutashinda ukatili wake. Watanzania tusione haya wala woga kudai haki. Ndiyo watatuua lakini mwisho wa yote tutashinda. Ukatili wa Kikwete lazima upingwe kwa nguvu ya umma. Tusimame kudai haki yetu. Huu ni mwanzo tu wa mapambano lazima huyu Kikwete aondoke na CCM yake 2015.
Tusihishe Arusha, kwa maana kwa sasa watu wamezidi kuyaona manyanyaso ya CCM, kwa wanaharakati wenzangu huu ni mwanzo wa kudai uhuru kamili.
Manyanyaso ya Polisi ndiyo yamefika mwisho hawawezi kutupiga mabomu kila wakati..Hakika tutashinda. Shukrani kwa wale wote waliojitoa kudai haki mjini Arusha. Aksanteni.
Hahaha, tunahitaji tafakari nzito kujua tunachotaka otherwise hatujitambui! Hasa wapinzani
 
Watanzania imefika wakati kusema sasa inatosha, Kikwete siyo rais wetu, miaka mitano inayokuja ni mateso mateso-mateso, huyu mtu akubali kashindwa nchi, hakuna analofanya watanzania. Lipi jema kafanya.. Huyu ni dikteta wala hilo halina ubishi wowote. Watanzania tutanyanyaswa na kupigwa, polisi watatuua bila hatia, kama walivyofanya Arusha. Tunahitaji tu neema za mungu..this guy is rising Dictactor in Africa, anajaribu kufuata nyayo za Gabo, Museveni, Mugabe , Bashir..
Tunachohitaji ni kudai haki yetu bila woga, tumeliona hilo Arusha, kuwa tukisimama kidete tutashinda ukatili wake. Watanzania tusione haya wala woga kudai haki. Ndiyo watatuua lakini mwisho wa yote tutashinda. Ukatili wa Kikwete lazima upingwe kwa nguvu ya umma. Tusimame kudai haki yetu. Huu ni mwanzo tu wa mapambano lazima huyu Kikwete aondoke na CCM yake 2015.
Tusihishe Arusha, kwa maana kwa sasa watu wamezidi kuyaona manyanyaso ya CCM, kwa wanaharakati wenzangu huu ni mwanzo wa kudai uhuru kamili.
Manyanyaso ya Polisi ndiyo yamefika mwisho hawawezi kutupiga mabomu kila wakati..Hakika tutashinda. Shukrani kwa wale wote waliojitoa kudai haki mjini Arusha. Aksanteni.
Dah kumbe mnalalamiko yenu ni yaleyale
 
Kuna kale kamsemo "be very careful of what u wish for, u might end up getting it"

kuna watu kabla ya 2015 walikuwa wanasema "Tanzania tunahitaji Rais dikteta ili tuendelee, maana tunabembelezana sana" sasa amekuja ambaye muda wa kubembeleza hana, mzee wa makavu live watu wanalalama, na hapa ndio naona kumbe na JK kuna watu walimwona na dikteta, sasa sijui bado wana mtazamo huo huo?

Cha ajabu hatujifunzi, bado kuna watu wengine wanaosema "Tanzania hadi damu imwagike ndio tutaelewana" najiuliza hivi wanajua wanachokitaka kweli?

Wengine eti 2020 tusiwe na uchaguzi kisa aliyepo anafaa na kufanya uchaguzi itakuwa uharibifu wa rasilimali! hivi kweli mtu anakua na mawazo ya kubadili utaratibu kwa sababu ya mtu na si issues?

hajiulizi what if huyo mtu akifa few months before election, what if akifanya mambo ya hovyo few months before election.
Na je si itafika wakati tutataka kumuondoa Rais hata baada ya mwaka kama yanayotokea Uingereza na Italy hivi kweli hiyo instability sisi tutaiweza, hapa tu na kukaza huku watu wanapiga, sasa ikiwa leo huyu, kesho yule, kesho kutwa mwingine si watu watajiundia nchi ndani ya nchi.

Umakini unahitajika sana ili kujua nini unataka, mihemko unaweka pembeni unadeal na facts na uhalisia wa mambo ulivyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom