Pundit
JF-Expert Member
- Feb 4, 2007
- 3,733
- 123
Polisi itoe ofa ya kusafirisha fedha kwa wanaohitaji kama kuelekea benki ama kupelekwa kwenye kampuni. Just Kampuni ipige simu kwenye idara maalum na kulipa kiasi fulani ili usalama wa fedha na wasindikizaji uwe salama.
Wewe ushaambiwa majambazi wanakula deal na makamanda wa polisi halafu unawaamini polisi tena?