Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,466
- 113,548
Kuna habari za kurindima kwa risasi mjini Mwanza ambapo watu 10 wameuwawa na majambazi, 17 Wajeruhiwa, Majambazi 6 nayo yauwawa na wananchi wenye hasira.
habari hizi ni kwa mijibu wa 7:00 pm news ya Ch.10.
Wenzetu wa Mwanza, tujulisheni zaidi
Update 1.
Waliokufa wafikia 14. Wengine wawili wamefariki wakiwa njia kupelekwa Hospital, na wawili zaidi wameuwawa kijijini.
BBC Swahili imemkariri Kamanda polisi wa Mkoa wa Mwanza, Jamal Rwambow asubuhi hii amesema majeruhi 6 wamehamishiwa hospitali ya Bugando kwa helcopter ya polisi, wengine 11 bado wamelazwa hospitali ya wilaya ya Ukerewe.
Update 2.
Akizungumza asubuhi hii kwenye kipindi cha Nipashe cha Radio One akiwa bado Nansio Ukerewe, Kamanda Rwambo amefafanua, watu 7 walifariki on the spot, watatu kati yao ni majambazi.Baadhi ya washirika wa majambazi hao, wametiwa nguvuni.
Naye Mbunge wa Ukerewe, Getrude Mongela, amesema ameshitushwa na tukio hilo, na leo atatarejea jimboni kwake Ukerewe kushirikiana na wapiga kura wake kwenye majonzi makubwa haya.
habari hizi ni kwa mijibu wa 7:00 pm news ya Ch.10.
Wenzetu wa Mwanza, tujulisheni zaidi
Update 1.
Waliokufa wafikia 14. Wengine wawili wamefariki wakiwa njia kupelekwa Hospital, na wawili zaidi wameuwawa kijijini.
BBC Swahili imemkariri Kamanda polisi wa Mkoa wa Mwanza, Jamal Rwambow asubuhi hii amesema majeruhi 6 wamehamishiwa hospitali ya Bugando kwa helcopter ya polisi, wengine 11 bado wamelazwa hospitali ya wilaya ya Ukerewe.
Update 2.
Akizungumza asubuhi hii kwenye kipindi cha Nipashe cha Radio One akiwa bado Nansio Ukerewe, Kamanda Rwambo amefafanua, watu 7 walifariki on the spot, watatu kati yao ni majambazi.Baadhi ya washirika wa majambazi hao, wametiwa nguvuni.
Naye Mbunge wa Ukerewe, Getrude Mongela, amesema ameshitushwa na tukio hilo, na leo atatarejea jimboni kwake Ukerewe kushirikiana na wapiga kura wake kwenye majonzi makubwa haya.