King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,632
- 68,560
Balozi wa amani(Nd. Risasi Mwaulanga) kushirikiana na zitto kabwe wanatarajia kufanya matembezi kutoka dar mpaka moro kwa miguu,lengo ni kuhamasisha vijana wajikite kwenye kilimo,anasema tanzania ukimwita mtu mkulima ni kama unamkashifu wkt usa ukimwita mtu mkulima yani ni sifa kubwa sawa na kumlinganisha na 50 cent
Source:Times FM
Huyu Jamaa kaitwa kuzungumzia kilimo lakini anampigia promo jakaya
Source:Times FM
Huyu Jamaa kaitwa kuzungumzia kilimo lakini anampigia promo jakaya