abunerimgaya
Member
- Nov 13, 2012
- 78
- 15
Risala fupi ya marehem CCM:
inaletwa kwenu na mimi Abuneri Mgaya
Marehem CCM alizaliwa 05/02/1977.
Enzi za uhai wake marehem alijishughulisha na kuua mazao ya biashara km pamba,tumbaku,kahawa,korosho na katan.
Marehem pia atakumbukwa kwa kaz kubwa aliyoifanya kwa bidii ya kuua viwanda km Mwatex,Mutex,Kiltex,Ufi,Bora Tanelec, Mgololo,Tanganyika packers,viwanda vya maziwa.
Pia aliwaleta na kuwapa wagen mali za waTZ.
Ameacha wachina kariakoo,waarabu loliondo,makaburu mererani na wazungu wa kila aina kwenye migodi yote ya madini na gesi.
Marehemu ameacha mke m1 aitwaye (CUF) na watoto wawili.UDP na TLP.Shetani amuweke pabaya moton milele Aamen.
inaletwa kwenu na mimi Abuneri Mgaya
Marehem CCM alizaliwa 05/02/1977.
Enzi za uhai wake marehem alijishughulisha na kuua mazao ya biashara km pamba,tumbaku,kahawa,korosho na katan.
Marehem pia atakumbukwa kwa kaz kubwa aliyoifanya kwa bidii ya kuua viwanda km Mwatex,Mutex,Kiltex,Ufi,Bora Tanelec, Mgololo,Tanganyika packers,viwanda vya maziwa.
Pia aliwaleta na kuwapa wagen mali za waTZ.
Ameacha wachina kariakoo,waarabu loliondo,makaburu mererani na wazungu wa kila aina kwenye migodi yote ya madini na gesi.
Marehemu ameacha mke m1 aitwaye (CUF) na watoto wawili.UDP na TLP.Shetani amuweke pabaya moton milele Aamen.