Yuyo Ahumile Shamalendi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2018
- 993
- 782
Mkuu Iringa na Mbeya wana tabia gani???Wasituaribie jina kwa tamaa zao za kutaka Mali ila tabia hii wamerithi kwa watu wa mbeya na iringa
Mkuu Iringa na Mbeya wana tabia gani???Wasituaribie jina kwa tamaa zao za kutaka Mali ila tabia hii wamerithi kwa watu wa mbeya na iringa
Hiyo ni common knowledge mkuu, muulize dsktari yeyote.
Ni kweli ,huoni wanavyotoa matusi ya nguoni kuhusu mkuu wa nchi?,na huu uzi lazima ukose wachangiaji,wanapitia pembeni kama hawauoni,umewazaba!Ripoti zinasema wagonjwa wengi wa akili wanapatikana maeneo ya Uru mjini Moshi mkoa wa Kilimanjaro, kwa mujibu wa daktari wa magonjwa ya akili wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kilimanjaro, Engelbertus Mafikiri kwa mwaka 2018 wagonjwa waliolazwa hospitalini hapo ni 904.
Dk. Mafikiri anasema kati ya wagonjwa hao, wanawake walikuwa 388 na wanaume walikuwa 516 huku waliotokea Uru walikuwa wagonjwa 89. View attachment 1037495
Sent using Jamii Forums mobile app
Cheki walivyoukimbia uzi, sasa! angetaja Chato,wangekuja kama nyuki.ndio hao wanaotusumbua humu jukwaaninakubaliana na huyo daktari kwa 101%
kwa taarifa yako tu vichaa wote waliopo Moshi Mjini 80% ni kutoka Uru.Mimi naona ni kwasababu hospitali hiyo iko katika tarafa ya Uru hivyo ni karibu zaidi kwa wagonjwa kuliko sehemu nyingine. Ikumbukwe kuwa mji wa Moshi upo katika tarafa ya Uru. Kama KCMC ingekuwa ingekuwa Chato wagonjwa wengi wangetokea huko na sio Uru.
Ni kweli ,huoni wanavyotoa matusi ya nguoni kuhusu mkuu wa nchi?,na huu uzi lazima ukose wachangiaji,wanapitia pembeni kama hawauoni,umewazaba!
Sent using Jamii Forums mobile app
we maskini wa mali na akili ndio maana huwezi changia chochote zaidi ya kuangalia nani kaandika nini ili umjibu. lete sababu za kwenu kuwa na vichaa wengi kuliko popote tz
Kwahiyo wagonjwa wa akili 89 ndio nchi nzma ?we maskini wa mali na akili ndio maana huwezi changia chochote zaidi ya kuangalia nani kaandika nini ili umjibu. lete sababu za kwenu kuwa na vichaa wengi kuliko popote tz
Achen wivu na maendeleo ya Kilimanjaro
kwa taarifa yako tu vichaa wote waliopo Moshi Mjini 80% ni kutoka Uru.