instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 11,381
- 14,186
- Thread starter
- #21
Na hii ni kweli?Mimi nimekaa Kilimanjaro kama miaka mitatu hivi, wachagga siyo washirikina, ukichaa wa wengi wao ambao wako vijijini unatokana na alcohol abuse. Hawa watu wanakunywa sana pombe. Uchawi ni kitu kigeni labda kwa miaka hii, dini kule imeshika nafasi kubwa sana, kanisa na viongozi wake wana nguvu kubwa sana na watu wakule ni very aggressive ila siyo wachawi
Sent using Jamii Forums mobile app