Tetesi: Ripoti za uchunguzi wa uhalali wa shahada ya uzamivu (PhD) ya hayati Magufuli pamoja na wengine zimefichwa

Championship

JF-Expert Member
Aug 7, 2019
5,499
10,538
Nilimtembelea rafiki yangu mmoja ambaye ni mhadhiri pale Udsm na katikati ya maongezi likaja suala la uwezekano wa mtu kupata PhD bila kupitia taratibu sahihi.

Hapo akasema kuna uchunguzi ulifanyika karibu mwaka mzima umepita na ripoti imeishia pale utawala. Ilikuwa ni katika routine ya kawaida kuangalia ubora wa kazi za wanafunzi wa miaka ya nyuma zilizopitishwa.

Huko udasa hizi tetesi inaonekana zinaongelewa na Prof Mwandosya aliwahi kuhoji hapa mwaka jana Prof. Mark Mwondosya atilia mashaka shahada za uzamivu wanazotunukiwa wanasiasa, ahoji vigezo au viwango vimebadilika?? Inasemekana kwamba PhD tajwa hapo juu ni mojawapo.

Kama ni kweli basi Prof Anangisye ajivike ujasiri na kuufahamisha umma wa watanzania.
 
Nilimtembelea rafiki yangu mmoja ambaye ni mhadhiri pale Udsm na katikati ya maongezi likaja suala la uwezekano wa mtu kupata PhD bila kupitia taratibu sahihi.

Hapo akasema kuna uchunguzi ulifanyika karibu mwaka mzima umepita na ripoti imeishia pale utawala. Ilikuwa ni katika routine ya kawaida kuangalia ubora wa kazi za wanafunzi wa miaka ya nyuma zilizopitishwa.

Huko udasa hizi tetesi inaonekana zinaongelewa na Prof Mwandosya aliwahi kuhoji hapa mwaka jana Prof. Mark Mwondosya atilia mashaka shahada za uzamivu wanazotunukiwa wanasiasa, ahoji vigezo au viwango vimebadilika?? Inasemekana kwamba PhD tajwa hapo juu ni mojawapo.

Kama ni kweli basi Prof Anangisye ajivike ujasiri na kuufahamisha umma wa watanzania.
Nimekubali Magufuli alikuwa sio tishio tu nje ya nchi,hasa ndani ya nchi,hakika mtateseka sana na mzimu wake
 
Nilimtembelea rafiki yangu mmoja ambaye ni mhadhiri pale Udsm na katikati ya maongezi likaja suala la uwezekano wa mtu kupata PhD bila kupitia taratibu sahihi.

Hapo akasema kuna uchunguzi ulifanyika karibu mwaka mzima umepita na ripoti imeishia pale utawala. Ilikuwa ni katika routine ya kawaida kuangalia ubora wa kazi za wanafunzi wa miaka ya nyuma zilizopitishwa.

Huko udasa hizi tetesi inaonekana zinaongelewa na Prof Mwandosya aliwahi kuhoji hapa mwaka jana Prof. Mark Mwondosya atilia mashaka shahada za uzamivu wanazotunukiwa wanasiasa, ahoji vigezo au viwango vimebadilika?? Inasemekana kwamba PhD tajwa hapo juu ni mojawapo.

Kama ni kweli basi Prof Anangisye ajivike ujasiri na kuufahamisha umma wa watanzania.
We utakuwa na Mimba ya magufuli unamfuatilia MTU aliyefariki siku nyingi Acha huo ushamba.
 
Nilimtembelea rafiki yangu mmoja ambaye ni mhadhiri pale Udsm na katikati ya maongezi likaja suala la uwezekano wa mtu kupata PhD bila kupitia taratibu sahihi.

Hapo akasema kuna uchunguzi ulifanyika karibu mwaka mzima umepita na ripoti imeishia pale utawala. Ilikuwa ni katika routine ya kawaida kuangalia ubora wa kazi za wanafunzi wa miaka ya nyuma zilizopitishwa.

Huko udasa hizi tetesi inaonekana zinaongelewa na Prof Mwandosya aliwahi kuhoji hapa mwaka jana Prof. Mark Mwondosya atilia mashaka shahada za uzamivu wanazotunukiwa wanasiasa, ahoji vigezo au viwango vimebadilika?? Inasemekana kwamba PhD tajwa hapo juu ni mojawapo.

Kama ni kweli basi Prof Anangisye ajivike ujasiri na kuufahamisha umma wa watanzania.
Badala ya kufuatilia madudu yanayoendelea saa hizi kama ufisadi,kupanda Kwa gharama ya maisha,tozo zinazoanzishwa ovyoovyo ,kupanda kwa bei ya mafuta hivyo kufanya maisha ya watanzania kuwa magumu unafuatilia mambo yasiyokuwa na msingi.haya fuatilia pia doctorate ya Rais mmoja mstaafu ya kupewa bure.
 
Phd za kataristi ni fake,ndio maana imemkosti kipenzi chetu marehemu Ben saa8.

Imagine just kuhoji tu.
Kwani Ben Saa8 ni confirmed Marehemu?
Makonda anasemaje?
Aliyekuwa kijana mtiifu kwenye maswala ya wanaomfukunyua Boss wake.
 
Kwa kile kichwa cha Magufuli huwa siamini kama PhD yake ilikuwa feki, alionekana kuwa "active" kiakili zaidi ya viongozi wengi serikalini wakati wake, alikuwa ni mtu aliyependa kujisomea mpaka akatuambia alikuwa akilala na ma - file kitandani.

Alipenda kuishughulisha akili yake na hili lilionekana maeneo mengi, kwa namna alivyokuwa anakagua miradi, maswali aliyokuwa anawauliza makandarasi nk..

Huwa naona kinachowafanya wengi waamini PhD ya Magufuli ilikuwa feki, ni kwasababu hakumpa Saanane nafasi ya kuihakiki, na hii kwangu sio kwasababu alikuwa hajiamini/hauamini ubora wa PhD yake, hapana.

Ukweli ni kwamba, Magufuli wakati wake hakuwa anapenda upinzani kwenye jambo lolote, mifano ipo mingi; hata Lissu, Nape, na wengine wanalijua hili, kwani nao yaliwakuta walipojaribu kwenda kinyume na Magufuli, hakuwa Ben pekee aliyeathirika alipohoji.
 
Kwani Ben Saa8 ni confirmed Marehemu?
Makonda anasemaje?
Aliyekuwa kijana mtiifu kwenye maswala ya wanaomfukunyua Boss wake.
Kifo chake hakijakuwa comfirmed lakini mazingira yanaonyesha "amepotezwa" na "nitawashughulikia" ndio ilikuwa kaulimbiu ya awamu ya tano.
2339015_Screenshot_20200303-141241-picsay.jpeg
 
Badala ya kufuatilia madudu yanayoendelea saa hizi kama ufisadi,kupanda Kwa gharama ya maisha,tozo zinazoanzishwa ovyoovyo ,kupanda kwa bei ya mafuta hivyo kufanya maisha ya watanzania kuwa magumu unafuatilia mambo yasiyokuwa na msingi.haya fuatilia pia doctorate ya Rais mmoja mstaafu ya kupewa bure.
Mambo kama haya yanachangiwa na elimu fake kama hiyo iliyochunguzwa.
 
Back
Top Bottom