cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,322
Na kubadilisha mfumo ndo tatizo.Serikali ile ile.
Sheria zile zile.
Majizi yale yale. Tupige kelele
Na kubadilisha mfumo ndo tatizo.Serikali ile ile.
Sheria zile zile.
Majizi yale yale. Tupige kelele
Hii sheria ya HESLB kiboko mwaka juzi niliomba loan statement yangu deni likawa million 7 juzi nimeomba loan statement deni limekuwa milion 9 nikajiuliza hili deni litaisha lini maana nalipa ila ninazidi baada ya kupungua, so hili linaitaji ufumbuzi wa haraka sana ni mzigoNa kubadilisha mfumo ndo tatizo.
Hyo ni Sheria ya wizi ndio maana nimeona CAG kwenye report, hata waliokopa biashara huwa haiwi hivi, toka lini mkopo wa elimu ukawa na marejesho makubwa kuliko wa biashara na ingetakiwa mtu akianza kulipa hyo retention fee ikome, imagine Sasa maelfu ya watu wasio na ajira Deni linaongezeka tu, na huyo kabudi aliyekuja na hii Sheria walisomaga bure kabisa na hawadaiwiHii sheria ya HESLB kiboko mwaka juzi niliomba loan statement yangu deni likawa million 7 juzi nimeomba loan statement deni limekuwa milion 9 nikajiuliza hili deni litaisha lini maana nalipa ila ninazidi baada ya kupungua, so hili linaitaji ufumbuzi wa haraka sana ni mzigo
Mtu ni mfanyakazi serikalini, hajaongezwa mshahara kwa miaka sita. CAG anaonyesha kikundi cha watu wachache kilikua kinafaidi keki ya Taifa. Yaani hata kutetea maslai yako ya kutokuongezwa mshahara unashindwa kisa CCM ndio Chama chako!
Uzalendo wa sasa ni sawa na ujambazi, unyang'anyi, uporaji, unafiki, ujangili na unyang'au. Ukiambiwa wewe sio mzalendo kafanye sherehe na toa sadaka ya shukrani.
Uzalendo sio kupenda rais au kumchukia, uzalendo sio kupenda serikali au kuichukia ila uzalendo ni kuipenda nchi yako na rasilimali zake watu na viumbe na vitu vyote na kusimamia ukweli na kuwa accountable hasa civil servant akiwa hata na rumors za ufisadi kushughulikiwa.
Honest question: Hivi Mataga and apologists brigade mnajisikiaje sasa?
Ukiona kiongozi anatumia nguvu kubwa kuzuia watu wasiongee basi ujue kuna maovu mengi anafanya so anajua akiruhusu watu waongee maovu yake yatajulikana.
Ukweli huenda sambamba na Uwazi, lakini kama mtu hataki kua muwazi ni wazi kabisa mtu huyo sio MKWELI.
Bodi ya wakurugenzi ATCL haina mwenye uzoefu hata mmoja na mlitaka endesha kwa faida? Halafu akina sie pangu pakavu tukipeleka CV tunaambiwa uzoefu miaka 5. Lakini bado kuna watu watasema marehemu hawampendi.
View attachment 1748159
Mabeberu ndio kisingizio kikubwa cha watawala wanapotaka kujisafisha kwa 'blunders' wanazofanya. Hii ni moja ya tabia za "Dystopian rulers"
Mtaalamu yeyote anayekwenda kinyume na matakwa ya watawala wa Tanzania, huyo anatumiwa na Mabeberu! Hiki ndio kisingizio kikubwa cha watawala wanapotaka kujisafisha kwa 'blunders' wanazofanya; 'Throw a blame to Mabeberu'. Ni moja ya tabia za Dystopian rulers. Lakini wale wote wanaoenda kinyume...www.jamiiforums.com
Hivi "utitiri wa kodi umeletwa na mabeberu"? Niseme ukweli tu sijawahi kumuelewa Rais Magufuli katika masuala ya kodi na biashara
Habari wana Jf Kwanza naomba niweke nukuu kwa magufuli aliyosema jana; "Kodi zikiwa chache na viwango vikiwa vidogo biashara inastawi, kinyume chake biashara hudumaa, hii ndio sababu tumeanza kuchukua hatua za kupunguza viwango na utitiri wa kodi" magufuli Niseme tu kuwa mambo haya ya kodi...www.jamiiforums.com
Waoga wote huonekana wazalendo katika serikali ya kidikteta!
Kuwa mzalendo ni kuipenda nchi, sio lazima Serikali. Wakati mwingine Serikali hushikwa na kundi la waasi,wahuni au matapeli - JamiiForums Waoga wote huonekana wazalendo katika serikali ya kidikteta maana uoga wao hufanya waunge mkono udikteta huofia uhai wao. Lakini mashujaa wote huonekana sio...www.jamiiforums.com
Kuwa mzalendo ni kuipenda nchi, sio lazima Serikali. Wakati mwingine Serikali hushikwa na kundi la waasi,wahuni au matapeli
Siku zote nitaendelea kuwaheshimu vijana wa kitanzania wanaoendelea kuikosoa serikali hadharani, pale inapotenda ndivyo sivyo. Pamoja na matukio ya kutisha yanayowakuta vijana/watu wanaoonesha upinzani, kama kutekwa, kupotezwa na kuuawa, lakini bado idadi ya wanaopinga maovu ya serikali...www.jamiiforums.com
Hawa waliokuwa wanalipwa posho ndefu ndio walikuwa praise team wazuri kisa walikuwa wanapata green pasture. Bongo hii wanaopata mteremko huona ujinga kutetea masilahi ya wengine
Kuna watu wanadhani haya tunawaoneaHyo ni Sheria ya wizi ndio maana nimeona CAG kwenye report, hata waliokopa biashara huwa haiwi hivi, toka lini mkopo wa elimu ukawa na marejesho makubwa kuliko wa biashara na ingetakiwa mtu akianza kulipa hyo retention fee ikome, imagine Sasa maelfu ya watu wasio na ajira Deni linaongezeka tu, na huyo kabudi aliyekuja na hii Sheria walisomaga bure kabisa na hawadaiwi
Mwizi ni mwizi tuIlo jeduali niliisi kikao cha harusi aisee!!! Yani posho milioni mia700 hakiyamungu kuna raia zinakula maisha aisee... Alafu posho mia700 na bado kuna pesa ya malazi apo na usafiri.... Sasa sijui iyo posho ni kwaajili ya kitu gani walahi!!!!??? Raisi Magufuli namkubali sana ila hii sijui alikuwa wapi mpaka raia zinapiga pesa ndefu kiasi icho yani vikao20 na semina ndo bilion daaah.... Ngoja nisomeshe mwanangu
mishahara isipopanda mwaka huu ndio ntaamini kuwa shetani ni watu.Mtu ni mfanyakazi serikalini, hajaongezwa mshahara kwa miaka sita. CAG anaonyesha kikundi cha watu wachache kilikua kinafaidi keki ya Taifa. Yaani hata kutetea maslai yako ya kutokuongezwa mshahara unashindwa kisa CCM ndio Chama chako!
Uzalendo wa sasa ni sawa na ujambazi, unyang'anyi, uporaji, unafiki, ujangili na unyang'au. Ukiambiwa wewe sio mzalendo kafanye sherehe na toa sadaka ya shukrani.
Uzalendo sio kupenda rais au kumchukia, uzalendo sio kupenda serikali au kuichukia ila uzalendo ni kuipenda nchi yako na rasilimali zake watu na viumbe na vitu vyote na kusimamia ukweli na kuwa accountable hasa civil servant akiwa hata na rumors za ufisadi kushughulikiwa.
Honest question: Hivi Mataga and apologists brigade mnajisikiaje sasa?
Ukiona kiongozi anatumia nguvu kubwa kuzuia watu wasiongee basi ujue kuna maovu mengi anafanya so anajua akiruhusu watu waongee maovu yake yatajulikana.
Ukweli huenda sambamba na Uwazi, lakini kama mtu hataki kua muwazi ni wazi kabisa mtu huyo sio MKWELI.
Bodi ya wakurugenzi ATCL haina mwenye uzoefu hata mmoja na mlitaka endesha kwa faida? Halafu akina sie pangu pakavu tukipeleka CV tunaambiwa uzoefu miaka 5. Lakini bado kuna watu watasema marehemu hawampendi.
View attachment 1748159
Mabeberu ndio kisingizio kikubwa cha watawala wanapotaka kujisafisha kwa 'blunders' wanazofanya. Hii ni moja ya tabia za "Dystopian rulers"
Mtaalamu yeyote anayekwenda kinyume na matakwa ya watawala wa Tanzania, huyo anatumiwa na Mabeberu! Hiki ndio kisingizio kikubwa cha watawala wanapotaka kujisafisha kwa 'blunders' wanazofanya; 'Throw a blame to Mabeberu'. Ni moja ya tabia za Dystopian rulers. Lakini wale wote wanaoenda kinyume...www.jamiiforums.com
Hivi "utitiri wa kodi umeletwa na mabeberu"? Niseme ukweli tu sijawahi kumuelewa Rais Magufuli katika masuala ya kodi na biashara
Habari wana Jf Kwanza naomba niweke nukuu kwa magufuli aliyosema jana; "Kodi zikiwa chache na viwango vikiwa vidogo biashara inastawi, kinyume chake biashara hudumaa, hii ndio sababu tumeanza kuchukua hatua za kupunguza viwango na utitiri wa kodi" magufuli Niseme tu kuwa mambo haya ya kodi...www.jamiiforums.com
Waoga wote huonekana wazalendo katika serikali ya kidikteta!
Kuwa mzalendo ni kuipenda nchi, sio lazima Serikali. Wakati mwingine Serikali hushikwa na kundi la waasi,wahuni au matapeli - JamiiForums Waoga wote huonekana wazalendo katika serikali ya kidikteta maana uoga wao hufanya waunge mkono udikteta huofia uhai wao. Lakini mashujaa wote huonekana sio...www.jamiiforums.com
Kuwa mzalendo ni kuipenda nchi, sio lazima Serikali. Wakati mwingine Serikali hushikwa na kundi la waasi,wahuni au matapeli
Siku zote nitaendelea kuwaheshimu vijana wa kitanzania wanaoendelea kuikosoa serikali hadharani, pale inapotenda ndivyo sivyo. Pamoja na matukio ya kutisha yanayowakuta vijana/watu wanaoonesha upinzani, kama kutekwa, kupotezwa na kuuawa, lakini bado idadi ya wanaopinga maovu ya serikali...www.jamiiforums.com
Na next election wataaambiwa ahadi zile zile.. mambo yalele na bado watawapigia kura.Ukweli mchungu ni kwamba sisi watanzania ni wajinga, WAOGA na malofa. Just imagine, kati ya maofisa na watendaji wa serikali waliosababisha madudu yaliyoibuliwa kwenye ripoti ya CAG asilimia kubwa wako kwenye serikali 'mpya', isipokuwa the late President na wachache wengine...
Kabisa unyonge na ujinga wa watanzania ulimfanya Magufuli aonekane shujaa kumbe alikuwa shujaa wa mambo yake binafsi.Ulikuja kama mkombozi kwa maneno yako mwenyewe eti mtetezi wa wanyonge
watanzania walio wengi kwa unyonge wao wakakushangilia....
Hivi kupisha uchunguzi maana yake nini.Ulikuja kama mkombozi kwa maneno yako mwenyewe eti mtetezi wa wanyonge
watanzania walio wengi kwa unyonge wao wakakushangilia...