Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,404
Tumechezewa sana wakati wa Magufuli.Wakati wa Magufuli CAG alikuwa anawekwa mfukoni na Rais.Ripoti ilikuwa ni safi kwenye kila idara hadi ATCL walitengeneza mabillion ya faida hadi wakatoa gawio serikalini.