kunawatu wanajua kufikiri sijui kwanini nchi hii inaongozwa na VILAZA!Sioni sababu ya kulalamika kwamba Report hiyo alikabdihiwa nani... kinachopaswa kujadiliwa ni ukweli na usahihi wa kile walichokishuhudia...kama kweli CCM ni chama imara... KAMA kweli TISS NA NEC hawakuhusika kwa namna mmoja ya uchakachuaji na kama kweli tofauti ya watu Millioni 12 wote walisema eti hawaendi kupiga kura kwa sababu CCM itashinda yaonesha kwamba hata hao waandaji wa report hiyo ni mbumbumbu wa mambo ya Tanzania... labda wangesema tu kwamba daftari lilichakachuriwa with the benefit of hindsite, au watanzania waligoma kupiga kura mpaka wangehakikishiwa kwamba wizi ambao mara nyingi hufanywa na CCM umepatiwa Dawa.... kwan nini wakapigie kura wakati wanajua kwamba hata wakipiga CCM NI WEZI tu wataziiba...
SOURCE: ITV leo taarifa yahabari ya saa mbili usiku..........
Yaani nilichoona kimenishtua sana..........................waangalizi hawa hivi walikuwa nchi gani vile?
Wamedai yafuatayo:-
a) Wapigakura wengi hawakupiga kura kisa waliona CCM itashinda tu na hivyo kusababisha kura zilizohesabiwa kuwa kiduchu..........................ukweli ni kuwa TISS na NEC waliminya kura kibao..............................................
b) Walidai ya kuwa CCM bado ni chama imara wakati Chadema iliwaangusha ila kazi chafu ya TISS na NEC ndiyo inakiweka CCM madarakani......................
c) Hawakuongelea mahudhurio makubwa kwenye mikutano ya Dr. Slaa na kama hao wote yaani waliohudhuria walibaki majumbani hawakupiga kura......................................I just cannot take this boloney........................
d) mapoungufu ya NEC na TISS yamefumbiwa macho.........................................
la ajabu kuliko yote eti JK mchakachuaji in-chief ndie anayepewa hiyo taarifa.......................................kweli nimeamini hawa waangalizi na CCM lao ni moja kuhalalisha viongozi tusiyo wahitaji...........................hawa ndiyo walimhalalisha Hosni Mubarak ambaye leo kila mmoja amejua kumbe hachaguliki kabisa.,..........ni wizi wa kura tu ndiyo umemweka madarakani miaka 30..............