Ripoti ya Utetezi wa Bwawa la Stiegler - Ndiyo Hii? Nimeshindwa Kuisoma...

Magufuli teua watu wengine waandike a professional report ila hawa peleka butimba miezi sita. Wanatudhalilisha sana, this is a froffesional insult of high degree.
 
Mzee Mwanakijiji, Tatizo liko wapi? Kama huamini kuwa kuna acceleration due to gravity, panda juu ya mti ujiachie. Utapata jibu hapo hapo.
Naiona hii ripoti kama vile inakataa kuwa hakuna acceleration due to gravity. Let us wait and see! Subiri ipande juu ya mti
 
What do you expect when “wataalamu” were picked from garbage dumping area!?
Unamaanisha ni wa jalalani?
Kule kwenye madini tumeambiwa pesa tuliyoahidiwa tutapewa kwanza $100 million kwa kugawiwa sehemu ya yale makinikia tunayoshikilia kule bandarini.
Ngoja watuchotee kwanza makinikia ya dola milioni mia kwanza tupate akili ya kwenda kuyauza.
 
Mzee mwenzangu M.M
ukiongea hivyo kiujumla jumla haina maana na inaondoa credibility yako ninayoijua.Leta facts.

Duh... soma basi thread uone kwanini.. wakati mwingine ni vizuri kuletewa chakula mezani siyo vizuri kutafuniwa...
 
Hata kwenye mapokezi ya dhahabu ya leo, motive behind ni ile ile iliyotumika kuandaa hiyo report.
 
1563991248319.png


SALEH PAMBA

1563991427511.png


ABUBAKARI RAJABU


1563991604057.png


ABDULKARIM SHAH

1563992062877.png


thomas kashililah

1563992179952.png


Magnus Ngoile
 
To ignore our current reality that emboldens the idiocy within/among us, fostering efforts such as this report is as intellectually dishonest as the report itself.

We have on countless occasions seen works of otherwise professionally respectable institutions being challenged by propagandists, scholars once revered comfortably flout the academic ideal of fact above all else, all for political expedience.

We are here for a reason.
 
Acha upumbavu mkuu sio kila kitu kupinga tu, Kwanza umeisoma report yote au " you jump into conclusion" kiukweli kabisa atakayepinga ujenzi wa Strigle's Gorge huyo ni Mnafiki au kibaraka wa WWF & UNESCO

Mkuu ukisoma hiyo report kwa kweli tunakila sababu ya kuwa support na kuwapa nguvu Watanzania wenzetu ambao wametumia elimu yao kwa Maslahi ya Taifa kwa kufanya Utafiti na kuja na Valid and Strong report which deserve to be written with golden ink

Hawa wasomi wamepinga madai yaliyo wekwa na Mashirika mawili ambayo ni WWF na UNICIEF ambayo yamepinga ujenzi wa Bwawa la kuzalishia umeme wa Hydroelectric power ( HEP) kwa kigezo kuwa ujenzi huo utaathiri Selou Game Reserve ( SGR) na Ecosystem ya wanyama kwa sababu ujenzi utachangia Air and pollution

Wasomi hawa wetu wakawa jibu hoja hiyo kwa kusema mbona Kuna Airstrips ( viwanja vidogo vya ndege kama 38) alafu Bwawa hilo litachimbwa kilo zaid ya 110 kutoka kwenye hifadhi ya mbuga ya wanyama hivyo hakutakuwa na uchafuzi wowote wa mazingira

Vile Vile Strigle's Gorge unakusudia kuzalishia MW 2115 ambazo zitaingizwa kwenye grid ya Taifa hivyo itachochea maendeleo ya viwanda, reli ya umeme, sekta ya utalii na itaongeza upatikanaji wa umeme vijijini.. Sasa ww uneyepinga maendeleo haya kweli ni mzalendo?
 
NI ya wataalamu kama ile ya Makinikia iliyoonesha, endapo Acacia wasingetuibia madini yetu, Tanzania ingekuwa ndie top gold producer duniani, na kuhitimisha tunawadai USD 190 Billion wakati Market Capitalization ya kampuni husika haifiki hata USD 5 Billion!!!

Serious note: Hivi kuna mtu anaweza kunifanyia mpango wa passport ya Kenya, manake hivi sasa najisikia aibu mimi kuingia nchi za watu na Passport za Tanzania! Haki ya Mungu hii sitanii! Kuna siku nimeshuka airport ya nchi fulani, lakini ghafla watu wakaanza kunitazama mara baada ya kutoka kwenye cube ya passport control. Yaani nahisi kama yule afisa aliwakonyeza watu kuwaambia "...mnamuona yule, jamaa ni Mtanzania, ile nchi inayoidai kampuni ya madini USD 190 Billion wakati mapato ya nchi yake kwa mwaka hayafiki hata USD 15 Billion"!

No wonder Jiwe hataki kwenda ughaibuni!
kumbe ishawahi kukukuta hii hhh .
Vaa tu sura ya ukauzu mkuu,au omba uraia wa nchi nyngne uhame
 
Tunaposema elimu yetu imedidimia kiasi cha kutisha hatueleweki.

Unajua hapa umenifikirisha kidogo; sasa kama wanafunzi wanaofyatuliwa toka kwenye hivi vyuo wanakuwa hivi inakuwaje walimu wao? Na huko kote walikopitia kusoma ina maana hawakujifunza hata kidogo kuandika makaratasi ya kiakademia? Au hata kusoma majarida ya wenzao waone wanavyoandika?
 
Mkuu Kalamu, Tanzania ya sasa
hatuhitaji references za wataalamu wazungu katika ripoti zetu za kitaalamu, ripoti zetu sasa zinazingatia uzalendo, maadamu tumeamua kujenga mradi wa HEP wa Stigler, then ripoti zetu zitareflect our political wishes, nakumbuka kwenye hili tulikutana hapa na wote sisi mimi name wewe tulichangia page ya kwanza, ulianza wewe kuchangia post No. 5, nikaja mimi post No.8

Uzalendo wa kweli wa nchi yako ni pamoja na kusupport mipango kamambe
ya maendeleo ya nchi yako hata kama mipango hiyo itasababisha maumivu kwa walio wengi as long as itakuwa na faida kubwa kitaifa huko baadae.
P

Pascal unapoandika tambua wewe ni verified user.
Maandishi yako yatakuja kusomwa na kizazi kijcho pia. Vilevile usidhani kila mtu atakaesoma bandiko lako anakutambua vema. Unaweza andika kwa kufanya masihara kwakudhani wengi wetu tunakutambua huku JF.

Lkn kuna watu hawakujui na watatumia unachoandika hapa kukujaji Pasco ni mwandishi qa aina gani....

N pengine wabongo tunavyosifiana baadavya mtu kufariki, sasa mtu anasikia huko redioni au kwenye runinga kuwa pasco alikuwa mwandishi mahiri na mwenye kujenga hoja nzito, lkn anapokuja kusoma kipande kama hiki LAZIMA APATE MASWALI MENGI JUU YA SIFA ANAZOEWA PASCO HUYU.
 
Unajua hapa umenifikirisha kidogo; sasa kama wanafunzi wanaofyatuliwa toka kwenye hivi vyuo wanakuwa hivi inakuwaje walimu wao? Na huko kote walikopitia kusoma ina maana hawakujifunza hata kidogo kuandika makaratasi ya kiakademia? Au hata kusoma majarida ya wenzao waone wanavyoandika?

Mwanakijiji....kwani hujui ni watu/ wanafunzi wa aina gani wanaoendaga kusomea ualimu?
 
Back
Top Bottom