Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,745
- 16,737
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata huko S. Africa Gen. Nyamwasa anaishi eneo lisilojulikana na amepewa ulinzi na serikali ya Africa kusini ndio maana hata hiyo ripoti inavyosema huwa anasafiri kwenda Drc kuunganisha waasi inashangaza Sana!Unajua Nyamwasa walishajaribu kumuua mara tatu,ikiwepo kupigwa risasi tumboni.
Mtusi mwenzie Karegeya yeye alinyongwa na ma agent wa Kagame huko S/Africa.
So mkuu kwa kifupi Burundi chini ya Nkuru haijawahi kushinda vita yoyote na haina Major achievements yoyote kijeshi sio?Kaka nachomaanisha ni kwamba Rwanda haina guarantee ya kushinda hiyo vita wako 50/50 na Burundi. Braza Vita ni mbinu.
History inaonyesha WWII Bila Nyukilia US angepoteza kwa Japan.
Hitler aliingasha France kama upepo. Lakini akakwama Russia.
Dunia ya sasa war is about Allies. Unajua Kagame kaegemea Us/UK.
Unajua France wanafitina gani nae hatujui. Kumbuka ni agency gani ilimtonya M7 kuwa Kagame nataka kukumaliza. Jibu ni France intelligence.
Ushawahi kusikia France anatoa tamko against Nkuru?
Najua Russia walisha give up na Waafrica. But France still operating
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata huko S. Africa Gen. Nyamwasa anaishi eneo lisilojulikana na amepewa ulinzi na serikali ya Africa kusini ndio maana hata hiyo ripoti inavyosema huwa anasafiri kwenda Drc kuunganisha waasi inashangaza Sana!
Mkuu. Bu na Rw zinapakana hakuna namna vita ipigane Rw isipate madhara ni Sawa Us ipigane na Mexico lazima Texas itashamburiwa.Hapo kwny attack civilian si unaona hata Displine ya kijeshi hawana,ndio maana hata majuzi UN imesema itawarudisha baadhi ya wanajeshi wa Burundi sababu ya poor equiments na poor discpline.
Hivi nini maana ya intelligence mkuu?Kama unaweza ukatumia intelligence ukapigana na kushinda bila kuleta madhara ndani ya nchi yako then unataka nini tena?Marekani umeshawahi kusikia imepigana ndani ya nchi yake.
Ngoja niweke hapa baadhi ya vita hao RDF walivyopigana Congo 1st war,Congo 2nd war(huko walipigana mpk na combination ya jeshi la (Zimbabwe+Namibia+Angola),operations za kutosha huko ndani ya Congo,ishapigana na Uganda Kisangani na Uganda akachezea Kichapo,pia ni ya 5 duniani kwa kua na wanajeshi wengi huko kwny vikosi vya UN.
Hahah Uganda hii hii ambayo M7 wanamjua mpk anapolala?
Hahah Tz ilitoa mizinga kwny vita ya Congo?daah hii chai yako haina sukari kabisaa aisee.Mkuu. Bu na Rw zinapakana hakuna namna vita ipigane Rw isipate madhara ni Sawa Us ipigane na Mexico lazima Texas itashamburiwa.
Ukija kwenye Congo Wars.
Ile ya kwanza ilikua ni regional agenda. Ug na Rw walitoa infantry Tz ilitoa Watu wa Mizinga. (Mjomba wangu alienda hii mission).
Vita ya pili Ug na Rw mkataka kumutoa Kabila Senior kwa interest zenu. Mlipo mzidi nguvu Kabila senior SADC Ikaagiza Zimbabwe na Angola wawashughulikie. Zimb wakatoa air force Angola wakatoa infantry. Na ndo mission dude la kichina Chengudu liliwashughulikia RDF hawakuamini . Angola wakawazidi mkarudi hadi Kisangani.
Baada ya kukosa dhahabu Rw na Ug wakageukana kugombani mgodi Kisangani. Hii haikua vita lilikua pambano. Mliwapiga Ug kwenye pambano. Tena kwa Ambush. Ug walikua wa kwanza kuteka Kisangani. Wakiwa mjini RDF wakaanza kuwashambulia toka mlimani. Ug walikua bondeni RDF walikua juu mlimani. Geoposition aliwapa fursa.
Pili Kamanda Kazini aliyekuwa kamanda wa UPDF alichelewa kuamua alidhani ni friendly fire kumbe RDF wamedhamilia.
Nahitimisha.
RDF ilishindwa Congo war ya pili ndo maana Kabila Alibaki Madarakani. Kama kawaida ndo ikaanzishwa waasi Eastern Congo.
Chengdu jet J7 za Zimbabwe ziliwachachafwa kama radi afu Angola akawapiga Ardini hadi Leo Kagame anawaogopa Angola kinoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
fact aise nimegundua huna upande ila unaongea ukweli (51%)Unajua Nyamwasa walishajaribu kumuua mara tatu,ikiwepo kupigwa risasi tumboni.
Mtusi mwenzie Karegeya yeye alinyongwa na ma agent wa Kagame huko S/Africa.
Hahah daah mwanangu mpk leo hujabisha niko nashangaa hapa.
nilikuwa nasubiri uboronge ndio nipate pakuanziaHahah daah mwanangu mpk leo hujabisha niko nashangaa hapa.
Hahah kuna wadau walikua wanakulalamikia kule jukwaa la international hawakuelewi wewe ni timu Urusi au USA maana kila siku unawabadilikia.,hahah.
mimi huwa naenda na move lkn kiualisia navutiwa zaidi na wajamaa ila tatizo maendeleo ziroHahah kuna wadau walikua wanakulalamikia kule jukwaa la international hawakuelewi wewe ni timu Urusi au USA maana kila siku unawabadilikia.,hahah.
kumbe victory of RDF ni kushinda pambano tena kwa ambush duhMkuu. Bu na Rw zinapakana hakuna namna vita ipigane Rw isipate madhara ni Sawa Us ipigane na Mexico lazima Texas itashamburiwa.
Ukija kwenye Congo Wars.
Ile ya kwanza ilikua ni regional agenda. Ug na Rw walitoa infantry Tz ilitoa Watu wa Mizinga. (Mjomba wangu alienda hii mission).
Vita ya pili Ug na Rw mkataka kumutoa Kabila Senior kwa interest zenu. Mlipo mzidi nguvu Kabila senior SADC Ikaagiza Zimbabwe na Angola wawashughulikie. Zimb wakatoa air force Angola wakatoa infantry. Na ndo mission dude la kichina Chengudu liliwashughulikia RDF hawakuamini . Angola wakawazidi mkarudi hadi Kisangani.
Baada ya kukosa dhahabu Rw na Ug wakageukana kugombani mgodi Kisangani. Hii haikua vita lilikua pambano. Mliwapiga Ug kwenye pambano. Tena kwa Ambush. Ug walikua wa kwanza kuteka Kisangani. Wakiwa mjini RDF wakaanza kuwashambulia toka mlimani. Ug walikua bondeni RDF walikua juu mlimani. Geoposition aliwapa fursa.
Pili Kamanda Kazini aliyekuwa kamanda wa UPDF alichelewa kuamua alidhani ni friendly fire kumbe RDF wamedhamilia.
Nahitimisha.
RDF ilishindwa Congo war ya pili ndo maana Kabila Alibaki Madarakani. Kama kawaida ndo ikaanzishwa waasi Eastern Congo.
Chengdu jet J7 za Zimbabwe ziliwachachafwa kama radi afu Angola akawapiga Ardini hadi Leo Kagame anawaogopa Angola kinoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile Vita ya pili ya Drc ndio imeivuruga kabisa Drc (hasa mashariki) mpaka leo na imeigeuza kuwa maficho ya kudumu ya waasi na wahalifu kutoka nchi jirani. Ili amani ya Drc mashariki irejee ni lazima nchi zote za maziwa makuu zishirikishwe kwenye huo mchakato.Hahah Tz ilitoa mizinga kwny vita ya Congo?daah hii chai yako haina sukari kabisaa aisee.
Sasa huoni Hilo ni bonge la achievements kwa jeshi la wakina PK na mwenzake kupigana na combination ya majeshi ya nchi 5 (Congo+Zimbabwe+Namibia+Angola+Chad) tena muda huo Zimbabwe ikiwa inaogopeka Africa kwa jeshi imara.
Unadhani ni mziki wa kitoto tena kwa nchi iliyokua imetoka vitani miaka 4 iliyopita ikiwa haina resources za maana wala jeshi la kueleweka,bahati mbaya vita hio ilitengeneza vikundi vya waasi vya kutosha hapo Congo na PK&his allies wanakula matunda ya tu yakuvuna dhahabu+cobalt za kutosha mpk leo.
Aisee boss mbona huweki list ya vita vilivyopiganwa na Burundi chini ya Nkuru na ali achieve kitu gani ili tuwapime hapa?au zile house tortures jeshi linazofanya Burundi kwa raia wake ndo zinawafanya wawe superior?hahaha.
By the way the KITONA OPERATION unaifahamu?
Nilikuuliza OPERATION TORQUOISE unaifahamu pia?
Hahah hapo kwa huyo kamanda wa UPDF alichelewa sijui kufanya nini pamenifurahisha sana aisee,daah ila nadhani M7 anaelewa vzr kilichomtoa kanga manyoya.
Icheki google hapo boss,it's interesting na kwa sasa inafundishwa na baadhi ya vyuo vya kijeshi kwny baadhi ya nchi kama case study.mimi huwa naenda na move lkn kiualisia navutiwa zaidi na wajamaa ila tatizo maendeleo ziro
hyo operation kitona ilikuwa ina husu nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Drc wanalijua ilo that why wapo Sadc nadhan wanamgambo wa huko(updf na rdf) wanaandaliwa kisago ni swala la muda tu coz sadc wana ajenda ya aman ya drcIle Vita ya pili ya Drc ndio imeivuruga kabisa Drc (hasa mashariki) mpaka leo na imeigeuza kuwa maficho ya kudumu ya waasi na wahalifu kutoka nchi jirani. Ili amani ya Drc mashariki irejee ni lazima nchi zote za maziwa makuu zishirikishwe kwenye huo mchakato.
nitaicheki nightIcheki google hapo boss,it's interesting na kwa sasa inafundishwa na baadhi ya vyuo vya kijeshi kwny baadhi ya nchi kama case study.
Hio ni kweli mkuu,maana ile nchi ina host vikundi vya waasi kutoka Congo yenyewe,Rwanda,Burundi,Africa ya kati,Sudan,Msumbiji etc.Sometimes naona kama ile nchi huko Mashariki ni beyond repair.Ile Vita ya pili ya Drc ndio imeivuruga kabisa Drc (hasa mashariki) mpaka leo na imeigeuza kuwa maficho ya kudumu ya waasi na wahalifu kutoka nchi jirani. Ili amani ya Drc mashariki irejee ni lazima nchi zote za maziwa makuu zishirikishwe kwenye huo mchakato.
Hahah yeye Nkuru ajiandae kupambana na Forebu,FPB,RED-TABARA wako wanakula tizi muda huu.nitaicheki night
hivi unajua kuwa nkuru kadhamiria mtanange na slim
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila naamini bila kuzishirikisha nchi jirani ambazo zina makundi ya waasi huko itakuwa ndoto kuleta amani japo pia hizo hizo nchi jirani haziwezi kukwepa lawama kwa kuivuriga Drc (huo ni ukiukaji wa sheria za kimataifa na uhalifu)Naona watu wana matumaini na huyu Rais wa Drc aliyechaguliwa sasa atatuliza mizozo huko Mashariki lkn sioni atafanya miujiza gani kupatuliza pale.