Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,153
Umesahau kuweka na Mb.Mheshimiwa Dr Balozi (Mstaafu) Mwl. Ajiandae
Umesahau kuweka na Mb.Mheshimiwa Dr Balozi (Mstaafu) Mwl. Ajiandae
Hakuna Jipya Ripoti itawashangaza Hakuna Wizi wowote BOT ipo ShwariMama anapenda kutufurahisha sana watanzania, nahisi leo kuna zawadi ingine tutapatiwa kama ya ile siku yakujiandaa na sikukuu ya Idd.
Kuna kitu kinafichwa kuokoa shingo ya mtu.Inaweza kabisa kufanyiwa uchakachuaji na hivyo kuambiwa ripoti haina chochote kibaya au pesa zilizochukuliwa taratibu zote zilifuatwa. Kumbuka CAG Kichere alipotoa ripoti yake nadhani ilikuwa mwishoni mwa March au mwanzoni mwa April maccm walimtishia maisha yake.
Ni saa ngapi?kama haja edit anaweza akafanya jambo la ajabu sana. Tusubiri
Trust me. Hakuna Jipya mtasomewa blah blah tu halafu yataisha kiblah blah tu. Na ni kwanini iwe jan to march tu?Hii ni moja ya habari katika magazeti ya leo na pia iko mitandaoni, hivyo wacha tusubiri hiyo kesho kusikia kilichomo katika hiyo ripoti.
Swali ni je, ripoti hiyo itajibu maswali watu waliyonayo au ndio itaongeza maswali na pengine kukatisha watu tamaa?
Kuna mtu ukimuona amehudhuria uwasilishaji wa hiyo ripoti, basi usitegemee la maana kwani sidhani kama anaweza kuumbuliwa na yeye akiwa yupo katika eneo la tukio unless wamfiche jambo ambalo nalo si rahisi kutokea.
Tusubiri.
Hakuna Jipya. Itasomwa Ngojera na hakuna mtu atachukuliwa hatua atafikishwa ni whereInaweza kabisa kufanyiwa uchakachuaji na hivyo kuambiwa ripoti haina chochote kibaya au pesa zilizochukuliwa taratibu zote zilifuatwa. Kumbuka CAG Kichere alipotoa ripoti yake nadhani ilikuwa mwishoni mwa March au mwanzoni mwa April maccm walimtishia maisha yake.
Adui huwa hajichomi mkuki ili kujimalizaJamaa kapewa safari ya ufaransa huko ngoja tuone itakuaje sidhani kama hiyo tarehe atakua kasharudi nadhani kama ni kweli Itakua Noma sana
hawa jamaa kutumia akili ni msamiati kwao,ni mwendo wa hisia mwanzo mwisho.Yaani serikali ya CCM ijifanyie uchunguzi halafu itoe ripoti inayoichafua serikali??
Hahahahaa jamani eeeh…tutumiage akili zetu tulizozaliwa nazo!
Brother juzi hapa ilikuwa unanipelekesha na taarifa za kifo cha Bagonza hata Leo unaikandiYaani serikali ya CCM ijifanyie uchunguzi halafu itoe ripoti inayoichafua serikali??
Hahahahaa jamani eeeh…tutumiage akili zetu tulizozaliwa nazo!
Vipi mzigo tayari au?Hii ni moja ya habari katika magazeti ya leo na pia iko mitandaoni, hivyo wacha tusubiri hiyo kesho kusikia kilichomo katika hiyo ripoti.
Swali ni je, ripoti hiyo itajibu maswali watu waliyonayo au ndio itaongeza maswali na pengine kukatisha watu tamaa?
Kuna mtu ukimuona amehudhuria uwasilishaji wa hiyo ripoti, basi usitegemee la maana kwani sidhani kama anaweza kuumbuliwa na yeye akiwa yupo katika eneo la tukio unless wamfiche jambo ambalo nalo si rahisi kutokea.
Tusubiri.
Report inasomwa saa ngapi?Hii ni moja ya habari katika magazeti ya leo na pia iko mitandaoni, hivyo wacha tusubiri hiyo kesho kusikia kilichomo katika hiyo ripoti.
Swali ni je, ripoti hiyo itajibu maswali watu waliyonayo au ndio itaongeza maswali na pengine kukatisha watu tamaa?
Kuna mtu ukimuona amehudhuria uwasilishaji wa hiyo ripoti, basi usitegemee la maana kwani sidhani kama anaweza kuumbuliwa na yeye akiwa yupo katika eneo la tukio unless wamfiche jambo ambalo nalo si rahisi kutokea.
Tusubiri.
Usiku wa MananeReport inasomwa saa ngapi?
Huyu Bashiru Kakurwa
Updates tafadhali..Hii ni moja ya habari katika magazeti ya leo na pia iko mitandaoni, hivyo wacha tusubiri hiyo kesho kusikia kilichomo katika hiyo ripoti.
Swali ni je, ripoti hiyo itajibu maswali watu waliyonayo au ndio itaongeza maswali na pengine kukatisha watu tamaa?
Kuna mtu ukimuona amehudhuria uwasilishaji wa hiyo ripoti, basi usitegemee la maana kwani sidhani kama anaweza kuumbuliwa na yeye akiwa yupo katika eneo la tukio unless wamfiche jambo ambalo nalo si rahisi kutokea.
Tusubiri.