Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,483
- 51,056
Nawaambia watu kila siku, kama Corona kweli ipo na inaua kama wanavotisha watu duniani, basi vifo vingetuumbuwa tu Tanzania.
Tanzania watu siku hizi hawafi?
Umejuaje kati ya hivyo vifo hakuna watu wa korona?
Maana huduma ya vipimo vya korona nchini ni very minimal, na serikali haina interest ya kupima watu enmasse.
Mimi na wewe hatuna rekodi za vifo vya watu kwa sasa ili tuweze kuwa na data za hali halisi ya vifo nchini