Ripoti ya Richmond Bungeni (FULL TEXT) na yatokanayo

Mr Zero ,

You are right on the money and I couldn't agree with you more . The question a'm still asking myself is why they don't want to release that report to members of parliament ? To whom does it belong?
 
Anajua kavurunda so soln ni kuwapiga bit wabunge ili wanywee.
Si ndio zao na si mara ya kwanza.
Ingawa kwa bit kama ilo kuna wabunge watanywea bila kujua kuwa wako bungeni kwa maslai ya wananchi ni si PM wala chama.
Mungu wapatie msimamo thabit wabunge wetu watetee tuu kile kilicho na maslai kwa wavuja jasho wa Tz amb
 
Anajua kavurunda so soln ni kuwapiga bit wabunge ili wanywee.
Si ndio zao na si mara ya kwanza.
Ingawa kwa bit kama ilo kuna wabunge watanywea bila kujua kuwa wako bungeni kwa maslai ya wananchi ni si PM wala chama.
Mungu wapatie msimamo thabit wabunge wetu watetee tuu kile kilicho na maslai kwa wavuja jasho wa Tz
 
You are absolutely right. To clean up the mess we need a president who is STRONG, BRAVE, and is willing to MAKE TOUGH DECISIONS. Most of the corrupt incompetent "leaders" are his friends or have other powerful friends (Lowassa, Mramba, Mkapa etc). People need to be fired not given second, third, fourth chances, lectures, etc. JK is a coward he is not capable of this.


Duh!
Umeua kabisa, yaani sina cha kuchangia!
Long Live Tanzania!
 
Mkuu yuko busy na mambo ya Darfur, Kenya, DRC, Zimbabwe etc. Anatengeneza international profile. Haya mnayoongelea hayaumizi kichwa kwake.
 
jamani wabunge wetu wapo kwa ajili ya maslahi yao binafsi na si kwa wadanganyika ndio maana wanapelekwa pelekwa tu,kama walivyo changia wengine dom hakuna jipya na hakuna mabadiliko yoyote ya mawaziri wala kujiudhuru mtu.bali ni kiini macho na masikio tu.ni lini uliona sikio limesirika baada ya kusikia kilichosemwa
 
Mbona kenye misitu alikurupuka na kuwamwaga jamaa bila uchunguzi wala kunda kamati? Sasa huko kwingine anaogopa nini. Au ndiyo anataka kutuambia kuwa skendo ya kule ilikuwa kubwa sana kuliko hizo za BOT, Richmoduli n.k. Anyway, wacha MAZINGAOMBWE yaendelee, it's part of the intertainment!!!!
 
Mawaziri lazima waelewe kwamba wamepata uwaziri baada ya kupata ubunge ambao wamechaguliwa na wananchi wa majimbo yao. Huyo Lowassa asiwatishe hata kidogo kama uwaziri atawanyang'anya basi na awanyang'anye lakini ni hekima na busara kwa mawaziri na wabunge kusimamia masilahi ya wananchi wa Tanzania. PM anajijua ama anajua uwozo uliofanywa katika dili hilo na huenda hata yeye ni muhusika mkubwa sasa anataka kuwafunga midomo wabunge ambao baadhi yao wameanza kupata akili na kuamka.

..nani anateua mawaziri?

..kimsingi,kazi ya mbunge ni kuwakilisha maslahi ya jimbo lake!sasa kama wao hawaijui,haya!

Sisi watanzania tutaendelea kuwazomea na kuwapiga mawe wabunge na mawaziri wote ambao watakuwa wanapitisha mambo ya kutuumiza kama hayo.

..kuwanyima kura. kuwapiga mawe tutakuwa tunaelekea kenya!
 
Kubwa zaidi ninaloliona ni kuweka mikakati ya kufunika mambo na kupoza chungu kinachoelekea kuchemka.

..hicho chungu kitafunikwa mpaka lini? au uozo utakaponuka kiasi cha watu kuanza kutapika?
Kazi ya kusafisha serikali itahitaji kufumua karibu serikali nzima; jambo ambalo haliwezekani.

..linawezekana. unahitajika ujasiri na uungwaji mkono toka kwa wananchi.

Nadhani jambo analoweza kufanya Kikwete ili kurudisha imani yake kwa wananchi kwa kiasi fulani, ni kujinasua moja kwa moja na kundi hili lililomteka tokea wakati wa uchaguzi.

..hata kama atajinasua asipofanya hayo unayofikiri hawezi itakuwa amefanya half measures!

Atuonyesha kwa vitendo thabiti kuwa mambo haya ya kuwaibia wananchi hataweza kuyavumilia. Atuonyeshe kwa vitendo, na isiwe kwa maneno tu kila mara, hata pale ushahidi unapoonekana kuwa upo kuchukua hatua. Asikubali mambo ya kulindana yamteke.

..hivyo vitendo ndo hivyo sasa! ukitaka kuoga shurti uvue nguo!
 
Tuweni na sense of responsibility mzee Lowassa!

..FD, hii sentensi imenifanya nicheke kidogo,si kwa kebehi bali kwa kuona jinsi ulivyochoka!

..infact,kwa sasa si kwa wabunge,mawaziri na hata JK,hili neno "sense of responsibility" lina maana sana,nadhani zaidi hata ya maana yenyewe!
 
Nasikia wabunge wa CCM wanakutana jioni hii kuweka mambo sawa kabla hoja ya BOT na RICHMONDULI hazijajadiliwa bungeni. PM tumbo joto,hapa sasa ndio tutajua uzalendo wa wabunge wa CCM huko wapi,
 
PM alishasema hausiki na sakata la RICHMONDULI, sasa kulikoni tumbo joto? na haya majibu ya "serikali ilikuwa na nia njema" wakati wametutia hasara,likome kabisa
 
Nadhani,sasa,tuko mbioni kushuhudia kile ambacho hakikuwahi kushudiwa,unawakumbuka hawa jamaa wa mtandao matumaini?i think they are comming back,wanamengi,tusubiri kuona kinachoendelea.lakini kuna hali isiyo ya kawaida,kuanzia kwa bwana mkubwa pm,na dr msabaha anaelekea kua kondoo wa kafara katika hili sakata la richmonduli,
Mungu ione tanzania,mungu muone pm,mungu muone msabaha,tusubiri tuone.
 
Kwa nini hao Wabunge wa CCM wanataka kukutana wenyewe? Hivi wanachi wataendelea kusalitiwa mpaka lini? Kweli watajadili hiyo ripoti kwa moyo wa kizalendo au ndio watajifanya kubweka tu, wakiwa wameelekezwa cha kusema? Yetu macho na masikio..halafu mauvimivu makali..ila hatujazoe..ipo siku..nayo ni leo....MTANZANIA AMKAAAAAAAAAAAAA
 
Yeye (Pm) na Msabaha

Msabaha alikuwa waziri wa Nishati lakini mbona husemi kuwa na yeye ana hisa katika kampuni ya Richmond?


Tusubiri ripoti inasemaje, wale wanaoshabikia vilio vya wenzao wasijikute wameumbuka? Ananiwae ndiye kumbe siye
 
Mkuu yuko busy na mambo ya Darfur, Kenya, DRC, Zimbabwe etc. Anatengeneza international profile. Haya mnayoongelea hayaumizi kichwa kwake.

Inawezekana kabisa!
Kwa sababu ingekuwa anazisikia hizi kelele zetu nadhani hangelala na kudharau maonyo haya!
 
Back
Top Bottom