mkuu kweli unaamini failure ya TANESCO ni IPTL & Richmond..whatever it is still sikubaliani na hizo community/public property na ndio mwanzo wa unrealiable & poor services,unaongea failure ya City water ambayo tunajua ilikuwa kampuni ya briefcase iliyoingia kwa kifua cha hao mafisadi lakini kumbuka DAWASA ni disaster nyingine ambayo badala ya kusaidia ni mzigo tuu na Dar ni kama yote haina maji sasa sijui wanafanya nini?...mbona husemi TBL chini ya serikali iligeuza Tanzania kuwa 100% market ya wakenya with zero tax...free market rules monopoly ya Tanesco lazima iishe.