Ripoti ya pili ya Mchanga: Mwanasheria Mkuu ni zamu yako!

Endelea kulia lia tu. Jinamizi la IPTL limeongezewa mkataba mpaka 2025.
Teh teh ccm bwana, mnachekesha na kutia kinyaa,
Aliyekunya juu ya meza (waliosaini mikataba mibovu) ndiyo watakaoibika.
Hii ni hatari kama kula hela za marehemu. Ngoja tuone mkoloni mweusi atafanyaje?
Teh teh teh teh ccm kwa kulalamika.
Bila ccm hii nchi ingekuwa mbali sana kimaendeleo. Jana tumedraw, uwaziri kapewa mtu wa ccm hana hata knowledge yyte kuhusiana na mpira ila kwasbb ni mwanaccm kapewa. Hela nyingi zinatumika kuwashitaki upinzani
Nilishangaa sana nyasi za simba na basi la serengeti vinapigwa mnada kisa kodi.
Nikajua tayari hapa, hatuhitaji michezo ila tunataka kodi. Na kweli tuendelee kutafuta kodi tu.
Hakuna cha mkataba IPTL, hujaona mkurugenzi wa EWURA alivyosombwa na maji leo? Na pia hujaona tamko la EWURA kuwa watatushirikisha wadau wote kuhusu huo mchakato? Mpka sasa process zote zimesitishwa mpk essay turidhie. Subirini mtaitwa pale Karimjee Hall
 
mkurugenzi wa EWURA alivyosombwa na maji leo? Na pia hujaona tamko la EWURA kuwa watatushirikisha wadau wote kuhusu huo mchakato? Mpka sasa process zote zimesitishwa mpk essay turidhie. Subirini mtaitwa pale Karimjee
Sasa huyu anaesema wamesaini, hii kitu ameiona wapi??
 
hiyo unataka kusema kwa kuwa serikali hii imekuta hiyo mikataba isifanye chochote?
Lazima ifanye chochote. Yeye kama mwanasheria mkuu alichukua jukumu gani kuhakikisha hii mikataba inapelekwa bungeni kufanyiwa ammendments.?? Hamna. Lazima aliwe kichwa
 
Wachumi ni lipumba au ? Na hao wanasheria gani zaid ya wachumia tumbo
 
Habari za humu ndani wadau.Kama kawaida, hii ripoti ya pili ya wachumi na wanasheria, nadhani ni awamu nyingine kwa Mr. Masaju kurejea nyumbani Musoma, mugango!! Kama ilivyokuwa kwa Prof. Muhongo kushindwa kusimamia wizara, Masaju pia nadhani ameshindwa kusimamia sheria ambazo zinaandaliwa na ofisi yake.. Mwaka huu kilio kwetu kipo mara. Karibu uungane na wengine pale mugango ili tuvue samaki maana tuna ziwa karibu.
ntamshauri abaki kwanza hapa mkirila apooze machungu kidogo alafu ndio aje uko na mkumbuke kumwandalia mtumbwi
 
Na pia hujaona tamko la EWURA kuwa watatushirikisha wadau wote kuhusu huo mchakato? Mpka sasa process zote zimesitishwa mpk essay turidhie. Subirini mtaitwa pale Karimjee Hall

Tutatoaje maoni wakati documents zinazotumika kutathmini maombi ya renewal wamezificha?

Hivi wanadhani sisi ni mazuzu?

Wekeni hadharani renewal application ya IPTL

Wekeni hadharani contract perfomance report ya TANESCO na IPTL

Wekeni hadharani matokeo ya makesi yote tuliyowahi kuwa nayo dhidi ya IPTL na shiing ngapi wamelipa ngapi tunadaiwa

Halafu tuwekeeni tax clearance certificate ya IPTL tuione

NDIO TUTAWASHAURI
 
Habari za humu ndani wadau.Kama kawaida, hii ripoti ya pili ya wachumi na wanasheria, nadhani ni awamu nyingine kwa Mr. Masaju kurejea nyumbani Musoma, mugango!! Kama ilivyokuwa kwa Prof. Muhongo kushindwa kusimamia wizara, Masaju pia nadhani ameshindwa kusimamia sheria ambazo zinaandaliwa na ofisi yake.. Mwaka huu kilio kwetu kipo mara. Karibu uungane na wengine pale mugango ili tuvue samaki maana tuna ziwa karibu.
Muhongo alimfuatia RC. MAGESA MURONGO alietumbuliwa hukohuko kwao kesho pia ni zamu yake AG.
 
Habari za humu ndani wadau.Kama kawaida, hii ripoti ya pili ya wachumi na wanasheria, nadhani ni awamu nyingine kwa Mr. Masaju kurejea nyumbani Musoma, mugango!! Kama ilivyokuwa kwa Prof. Muhongo kushindwa kusimamia wizara, Masaju pia nadhani ameshindwa kusimamia sheria ambazo zinaandaliwa na ofisi yake.. Mwaka huu kilio kwetu kipo mara. Karibu uungane na wengine pale mugango ili tuvue samaki maana tuna ziwa karibu.
Masaju hakuwa mwanasheria mkuu wakati mikataba ikisainiwa. Muhongo, yawezekana, alikuwepo wakati baadhi ya mikataba iliposainiwa tena yawezekana Maswi alijua mengi kuliko hata Muhongo.

Kuanzia kesho na kuendelea ni zamuya Chenge na aliyekuwapo kabla ya Masaju.

Hata hivyo, budget mbadala inasomwa kesho na mjadala kuhusu budget utaendelea. Ni busara kwa wabunge wetu na watanzania kuwa focused kwenye budget. Hiyo report itakayokabidhiwa kesho itakuwepo hata baada ya kesho.

Kwa maoni yangu, kitakachoendelea bungeni ni cha muhimu sana hata kama hakitakuwa mubashara!
 
mikataba iliposainiwa tena yawezekana Maswi alijua mengi kuliko hata Muhongo.

Kuanzia kesho na kuendelea ni zamuya Chenge na aliyekuwapo kabla ya Masaju.

Hata hivyo, budget mbadala inasomwa kesho na mjadala kuhusu budget utaendelea. Ni busara kwa wabunge wetu na watanzania kuwa focused kwenye budget. Hiyo report itakayokabidhiwa kesho itakuwepo hata baada ya kesho.

Kwa maoni yangu, kitakachoendelea bungeni ni cha muhimu sana hata kama hakitakuwa mubashara!
Mzee zote ni muhimu!! Cha maana tutalink sehemu zote, na baadae tutaunganisha dots kujua mbichi na kavu...
 
Endelea kulia lia tu. Jinamizi la IPTL limeongezewa mkataba mpaka 2025.
Teh teh ccm bwana, mnachekesha na kutia kinyaa,
Aliyekunya juu ya meza (waliosaini mikataba mibovu) ndiyo watakaoibika.
Hii ni hatari kama kula hela za marehemu. Ngoja tuone mkoloni mweusi atafanyaje?
Teh teh teh teh ccm kwa kulalamika.
Bila ccm hii nchi ingekuwa mbali sana kimaendeleo. Jana tumedraw, uwaziri kapewa mtu wa ccm hana hata knowledge yyte kuhusiana na mpira ila kwasbb ni mwanaccm kapewa. Hela nyingi zinatumika kuwashitaki upinzani
Nilishangaa sana nyasi za simba na basi la serengeti vinapigwa mnada kisa kodi.
Nikajua tayari hapa, hatuhitaji michezo ila tunataka kodi. Na kweli tuendelee kutafuta kodi tu.
Una uhakika?
 
Back
Top Bottom