Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
Political structure of Chadema resembles CCM! It stinks!
For CHADEMA to be effective on its drive to bring mageuzi, it needs to revamp its leadership structure and organization.
What Chadema has done is to follow the leadership structure and organization blue print of CCM inch by inch. As a result of this, it has failed to separate itself from CCM and thus being ineffective to bring solid changes to political spectrum fo Tanzania!
Mageuzi si kuingia Ikulu pekee, bali ni mabadiliko ya mfumo mzima wa siasa na uendeshaji wake. Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, kinabidi kiwe cha kwanza kufanya hivyo,ndipo wengine watafuatilia na Wananchi wanweza kuanza kutofautisha Pumba na Mchele.
Nimewahi kuhoji miaka kadhaa iliopita kuwa siasa za Tanzania ni za mrengo gani baada ya Azimio la Zanzibar na kuja Mageuzi, sikupata jibu la maana zaidi ya watu kudai sisi sasa ni Mabepari na tuna Siasa za vyama vingi!
Mwanzo wa kweli wa mageuzi ya Siasa za Tanzania, utaanzia kwenye mabadiliko ya mfumo na miundo ya vyama vya siasa.
Chadema kiwe cha kwanza kuondokana na mfumowa ki-CCM ambao umelea tabaka la kundi maalum kutawala daima na kufanya maamuzi kwa Taifa zima (wanachama wake)!
Mbowe alipata bahati kuja Marekani wakati wa Uchaguzi wa 2004, je alijifunza yapi? je aliona mkutano mkuu wa chama kupitia kamati kuu na halmashauri kuu za Republican au Democrats zikipanga ni nani awe mgombea uwakilishi wa jimbo u uraisi? Nope!
Structure ya kwetu ni ya Kikomnisti, ile ile ya Wachina, Korea na hata Urusi. Sasa ni vipi mifumo hii ya utendaji italeta maendeleo na demokrasia ya kweli ikiwa Wenyeviti wa Vyama na wale "wateule wakuu" wanapewa nguvu za kufanya maamuzi makubwa kwa kutumia nyadhifa zao?
Kwa mnaoishi Marekani, mwaelewa mfumo wa siasa za vyama. Nguvu za chama na wawakilishi zipo majimboni na si Mkutano Mkuu au Kamati na Halmashauri Kuu!
Ikiwa Chadema itakubali mawazo yangu na kubadilisha mfumo wake ambao umeanza kuleta migooro na ulalamishi wa upendeleo, ukabila, udini na udugu na kuachia nguvu za wawikilishi kukamilishwa na wanachama wake katika ngazi za kata, wilaya hata mkoa, hapo ndipo mageuzi ya kweli katika siasa za Tanzania yatatoka na hiyo itakuwa njia pekee ya kuleta Demokrasia na Maendeleo kwa Taifa.
Mbowe, Slaa, Zitto, Mnyika, Makani, nasubiri vitendo!
For CHADEMA to be effective on its drive to bring mageuzi, it needs to revamp its leadership structure and organization.
What Chadema has done is to follow the leadership structure and organization blue print of CCM inch by inch. As a result of this, it has failed to separate itself from CCM and thus being ineffective to bring solid changes to political spectrum fo Tanzania!
Mageuzi si kuingia Ikulu pekee, bali ni mabadiliko ya mfumo mzima wa siasa na uendeshaji wake. Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, kinabidi kiwe cha kwanza kufanya hivyo,ndipo wengine watafuatilia na Wananchi wanweza kuanza kutofautisha Pumba na Mchele.
Nimewahi kuhoji miaka kadhaa iliopita kuwa siasa za Tanzania ni za mrengo gani baada ya Azimio la Zanzibar na kuja Mageuzi, sikupata jibu la maana zaidi ya watu kudai sisi sasa ni Mabepari na tuna Siasa za vyama vingi!
Mwanzo wa kweli wa mageuzi ya Siasa za Tanzania, utaanzia kwenye mabadiliko ya mfumo na miundo ya vyama vya siasa.
Chadema kiwe cha kwanza kuondokana na mfumowa ki-CCM ambao umelea tabaka la kundi maalum kutawala daima na kufanya maamuzi kwa Taifa zima (wanachama wake)!
Mbowe alipata bahati kuja Marekani wakati wa Uchaguzi wa 2004, je alijifunza yapi? je aliona mkutano mkuu wa chama kupitia kamati kuu na halmashauri kuu za Republican au Democrats zikipanga ni nani awe mgombea uwakilishi wa jimbo u uraisi? Nope!
Structure ya kwetu ni ya Kikomnisti, ile ile ya Wachina, Korea na hata Urusi. Sasa ni vipi mifumo hii ya utendaji italeta maendeleo na demokrasia ya kweli ikiwa Wenyeviti wa Vyama na wale "wateule wakuu" wanapewa nguvu za kufanya maamuzi makubwa kwa kutumia nyadhifa zao?
Kwa mnaoishi Marekani, mwaelewa mfumo wa siasa za vyama. Nguvu za chama na wawakilishi zipo majimboni na si Mkutano Mkuu au Kamati na Halmashauri Kuu!
Ikiwa Chadema itakubali mawazo yangu na kubadilisha mfumo wake ambao umeanza kuleta migooro na ulalamishi wa upendeleo, ukabila, udini na udugu na kuachia nguvu za wawikilishi kukamilishwa na wanachama wake katika ngazi za kata, wilaya hata mkoa, hapo ndipo mageuzi ya kweli katika siasa za Tanzania yatatoka na hiyo itakuwa njia pekee ya kuleta Demokrasia na Maendeleo kwa Taifa.
Mbowe, Slaa, Zitto, Mnyika, Makani, nasubiri vitendo!
Last edited by a moderator: