KIKOSIKAZI
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 2,219
- 1,145
!!!!! huyu nayeSerikali ya fukuzafukuza wakati wanaomba idhini yetu walituambia ajira.
!!!!! huyu nayeSerikali ya fukuzafukuza wakati wanaomba idhini yetu walituambia ajira.
Sikatai ila awe na sifa na pia utaratibu ufwate wa kupata hiyo kazi na apambane kwenye interview na wengine sio kuandikiana vimemo.Mnasema tuu sababu hamjapata nafasi...ukipata nafasi utatamani mwanao awe sehemu nzuri...
Mbona mnamsakama mtoto wa Magufuli wakat amefata sheria ya elimu ya kwamba alifeli form4 akaenda kusoma diploma Magogoni hapo na baada ya hapo akaenda UDOM tokana na ufaulu wake...mbona hajaenda UDSM..Sikatai ila awe na sifa na pia utaratibu ufwate wa kupata hiyo kazi na apambane kwenye interview na wengine sio kuandikiana vimemo.
Vilevile na hao watoto wa vigogo inatakiwa waangalie kama waliingia Ofisin kihalali au kwa njia ya Memo hicho ndo kikubwa.Mbona mnamsakama mtoto wa Magufuli wakat amefata sheria ya elimu ya kwamba alifeli form4 akaenda kusoma diploma Magogoni hapo na baada ya hapo akaenda UDOM tokana na ufaulu wake...mbona hajaenda UDSM..
Duhh hii nayo mpya, amesoma Diploma Chuo cha Magogoni? Alianza lini hapo Magogoni na akahitimu mwaka gani?Mbona mnamsakama mtoto wa Magufuli wakat amefata sheria ya elimu ya kwamba alifeli form4 akaenda kusoma diploma Magogoni hapo na baada ya hapo akaenda UDOM tokana na ufaulu wake...mbona hajaenda UDSM..
Duh!!.chapuo zishaanza?!...basi sawa.Watumbue wote ila Pamela lowassa na filbert sumaye waache wanasifa
Luwosi atawashika pabaya thithiemi waache wajichanganyeDuh!!.chapuo zishaanza?!...basi sawa.
Sema amekuchosha ww,na kama huoni badiliko,ulitaka afanye nn?hihivkama mtto wake alipitia certificate alafu Diploma, ndio akaingia chuo,who knows,acha uvivu was kufikiri,pia Fanya ,kazi badiliko haliji kwa kukaa na kulalamika.Kwa sasa haaminiki....anawatumbuaje wa wenzie wakati wa kwake pia hayuko kihalali udom.....hatukubaliani naye kwa lolote kwa sasa....aanze kwanza na la kwake.....pia ametuchosha na hii staili yake ya kufukuza fukuza....na tangu aanze sijaona badiliko katika Maisha yangu labda aseme atanigawia mshahara wa hao anaowafukuza....bahati mbaya usaha wa jipu sio blueband ya mkate
Kwani Jesca yuko BOT?Aanze na Jeska Kilaza
ipo siku utaelewa anaxhokifanya. kwa mtazamo wako hafifu huwezi jua. kama unafikiri akujaze hela mifukoni mwako basi nakuonea huruma sana maana akili za vilaza ni za vilza tu hata iweje. kilaza ni kilaza tu.Kwa sasa haaminiki....anawatumbuaje wa wenzie wakati wa kwake pia hayuko kihalali udom.....hatukubaliani naye kwa lolote kwa sasa....aanze kwanza na la kwake.....pia ametuchosha na hii staili yake ya kufukuza fukuza....na tangu aanze sijaona badiliko katika Maisha yangu labda aseme atanigawia mshahara wa hao anaowafukuza....bahati mbaya usaha wa jipu sio blueband ya mkate
JF sio kijiwe cha porojo tafadhali wataje majina hao watoto wa vigogo walioshia kidato cha nne halafu wanashika nyadhifa muhimu BOT. kuna wengine wapo BOT na kazi yao ni kuhesabu hela, wengine watu wa stoo sasa hao wanaoshika nyadhifa kubwa na elimu ndogo tudadavulie. nadhani watu wengi hawaelewi mifumo ya BOT. sio kama halamashauri au wizaraniOff course mwandishi wa habari wa NIPASHE amejitahidi tu kubalance story lakini kifupi BoT kunanuka aisee.
Kulekuna watoto wa vigogo tupu ambao hata elimu zao wengi ni form 4 tu, lakini ukielezwa ofisi wanazoshikilia unaweza mpaka kichwa kikakuuma.
Binafsi nawajua wawili, yaani ni aibu aisee.