jobbmoffat
Member
- Nov 13, 2013
- 56
- 29
Tuwe na subira, report ya wafanyakazi wote wa BOT ipo mezani kwa rais , ataitolea maamuzi,,,, so stop worrying about her.Huyo Pamella Lowassa ameingia kwa sifa zake. Aliandika barua ya maombi ya kazi akaambatanisha na vyeti vyake. Kosa lake nini?