Richolic
JF-Expert Member
- Jul 2, 2015
- 578
- 239
Unajua hata kama kweli watu hao wana sifa na vigezo vya kufanya kazi ambazo wanadaiwa kuzifanya hapo Benki Kuu, kwa idadi yao hapo na unyeti wa sehemu yenyewe pamoja na nafasi za hao wazazi wao lazima tu kutasababisha watu waangalie uwepo wao hapo kwa jicho la shaka na kuhoji kama wapo hapo kutokana na ushawishi wa hao wazazi/ jamaa zao au la.
'Watoto wa vigogo' uwa wanasoma vizuri kuliko sisi ilo ni dhairi na kama umebahatika utajua wengi wanafwata nyayo za wazazi wao na uwa outstanding sasa mimi kama baba angu aliexcel mimi nisiexcel kisa baba angu ana jina tuache chuki tukaze na sisi tufike wanasiasa wasitugeuze viini macho ili tuwe upande wao.