jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,056
- 35,828
Taasisi hizi zote za masuala ya ukaguzi ni hatari kwa rushwa..upande wa cag hao jamaa wakikuta hoja huwa wanakomalia wakipewa kifungu cha maana wanafuta hoja..hoja nyingi sana hufutwa.Hao wakaguzi wanaotumwa na CAG wanayoonesha tu maovu Kama ma 3 hivi Kati ya 100, Wana maisha mazuri kwa kupokea Rushwa wakati wa ukaguzi, madudu mengi wanaficha kwakuwa wanapewaga pesa huko wanapoenda kukagua , na pesa wanazolipwa ni hizo hizo Kodi za Wananchi. Hakuna kitu,
Hizo riport Zinazotolewa ni the best you can have, zoezi la ukaguzi ni zoezi la kupiga hela. Nyie mnapagawa na riport , je wakifanya kwa uwazi , wote mtaandamana hayo madudu
Nimemaliza.
Nivyema kuwe na vyombo angalau viwili kila kimoja vyenye weredi.
Ila kimsingi hali sio nzuri.
#MaendeleoHayanaChama