Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Ungemalizia kwa kusema kuwa Bunge linasema kuwa limeridhika na jinsi serikali ilivyotekeleza maazimio ya BungeHalafu Kikwete anasubiriwa kuidhinisha malipo ya shilingi 17 billioni kwa Mkapa eti "kumfidia gharama alizoingia alipoamua kununua Kiwira." Mbali ya hapo Mkapa aliidhinisha matumizi ya shilingi bilioni 10 za Serikali eti "kuukarabati" mgodi ule na mkopo wa shilingi bilioni 7 aliouchukua NSSF hadi leo hajarudisha hata senti tano. WIZI MTUPU!