Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Asante mzee, ila tu napata kauvivu fulani kuipitia kwasababu wenye mabavu wamesha ''Funika Kombe'' .....!
Asante mzee, ila tu napata kauvivu fulani kuipitia kwasababu wenye mabavu wamesha ''Funika Kombe'' .....!
Uelewa kuhusiana na jambo fulani ni muhimu na mara nyingi ni silaha katika maisha! Hivyo, tuisome taarifa hii kwa ufahamu wetu.Kuna sababu za kuisoma kwani utaweza kuona ni wapi haswa pamefanyika usanii ...na ukiilinganisha na ile iliyopita utaona kabisa kuwa kuna watu wamesalimu amri na sasa watakuwa na wao wanaimba zile nyimbo za kuwasifia mafisadi.
Kuna sababu za kuisoma kwani utaweza kuona ni wapi haswa pamefanyika usanii ...na ukiilinganisha na ile iliyopita utaona kabisa kuwa kuna watu wamesalimu amri na sasa watakuwa na wao wanaimba zile nyimbo za kuwasifia mafisadi.
Mambo ya Friday hayo!
Do not just hate , inawezekana nimeshiriki kuitengeneza je? huwa doc zao ziko kwenye pdf kama ni for public consumption, ila kama hazijawa public then zinakuwa kwenye word.I hate to see government & parliament's documents in plain word document format. i hate.... %^&*@%^@!(#^@#$^&
I hate to see government & parliament's documents in plain word document format. i hate.... %^&*@%^@!(#^@#$^&
I hate to see government & parliament's documents in plain word document format. i hate.... %^&*@%^@!(#^@#$^&