Watajibu sijui liniIlimkabizi report Cha ajabu Moro mambo yamejibu
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
SUBIRI ATAFUTWE WA KUBAMBIKIZIWA HIYO KESITangu janga la moto, waziri mkuu aliunda kamati ya uchunguzi akaipa wiki moja, then ikaongezewa wiki ya pili!
Hivi sasa mwezi umepita bado kimya, Je tuendelee kusubiri report au LAH?
Ya kuwapeleka complex au?Kiki ilikua
Tangu janga la moto, waziri mkuu aliunda kamati ya uchunguzi akaipa wiki moja, then ikaongezewa wiki ya pili!
Hivi sasa mwezi umepita bado kimya, Je tuendelee kusubiri report au LAH?
Heh?Achana na mambo ya serikali , wanaweza wakafanya tukio la kutisha ili mradi ku spin mambo!! Kama MV bukoba ilizama na watu 1000+ ili kiongozi wa alqaeda afe ndio itakuwa biadhaa tu za k/koo?
wewe utakuwa Da Vinci kuna fumbo hapo king kongAchana na mambo ya serikali , wanaweza wakafanya tukio la kutisha ili mradi ku spin mambo!! Kama MV bukoba ilizama na watu 1000+ ili kiongozi wa alqaeda afe ndio itakuwa biadhaa tu za k/koo?
Mkuu dadavua vizur tuelewe na sis tusiojua kugungua codeAchana na mambo ya serikali , wanaweza wakafanya tukio la kutisha ili mradi ku spin mambo!! Kama MV bukoba ilizama na watu 1000+ ili kiongozi wa alqaeda afe ndio itakuwa biadhaa tu za k/koo?
Hakuna code hata moja mkuu ,maelezo yapo plain kabisa.Mkuu dadavua vizur tuelewe na sis tusiojua kugungua code
Ilishakabidhiwa tangu last week...kwa wahusika tuu na mapendekezo kama yote.. Na kabla ya makabidhiano 'wafanyabiashara wachache' waliokuwa na bima za biashara zao wakalipwa!Tangu janga la moto, waziri mkuu aliunda kamati ya uchunguzi akaipa wiki moja, then ikaongezewa wiki ya pili!
Hivi sasa mwezi umepita bado kimya, Je tuendelee kusubiri report au LAH?