Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Umeongopa...Mkuu ukubwa wa Rwanda ni kama wilaya moja tu hapa Tanzania, wilaya ya Temeke inaweza kuwa sawa na Rwanda kiukubwa. Nafikiri hata wewe ukiambiwa ukawe Rais wa Rwanda na ukashindwa kuleta maendeleo tunaweza kukuita popoma plus.
Kagame anaweza kufanya ziara ya nchi yote ya Rwanda ndani ya siku moja tu na akamaliza.. Pia historia ya Rwanda mpaka hapo ilipo imechagizwa sana na huruma za mabeberu na jumuiya za kimataifa baada ya ile genocide.. Kumuona PK geneous ni upumbavu ulioje maana huhitaji maajabu kuifanya nchi yenye ukubwa wa wilaya moja ya tanzania na population ya karibia 11mil kuwa na maendeleo..
Kwahiyo Marekani ni vigumu uchumi wake kua mkubwa kwa kasi kuliko Tanzania kwa vigezo vyako hivyo?Mkuu ukubwa wa Rwanda ni kama wilaya moja tu hapa Tanzania, wilaya ya Temeke inaweza kuwa sawa na Rwanda kiukubwa. Nafikiri hata wewe ukiambiwa ukawe Rais wa Rwanda na ukashindwa kuleta maendeleo tunaweza kukuita popoma plus.
Kagame anaweza kufanya ziara ya nchi yote ya Rwanda ndani ya siku moja tu na akamaliza.. Pia historia ya Rwanda mpaka hapo ilipo imechagizwa sana na huruma za mabeberu na jumuiya za kimataifa baada ya ile genocide.. Kumuona PK geneous ni upumbavu ulioje maana huhitaji maajabu kuifanya nchi yenye ukubwa wa wilaya moja ya tanzania na population ya karibia 11mil kuwa na maendeleo..
Bora umemjibu uyo popoma, ana mihemko akisikia rwanda.anaongozwa na hisia badala ya welediMkuu ukubwa wa Rwanda ni kama wilaya moja tu hapa Tanzania, wilaya ya Temeke inaweza kuwa sawa na Rwanda kiukubwa. Nafikiri hata wewe ukiambiwa ukawe Rais wa Rwanda na ukashindwa kuleta maendeleo tunaweza kukuita popoma plus.
Kagame anaweza kufanya ziara ya nchi yote ya Rwanda ndani ya siku moja tu na akamaliza.. Pia historia ya Rwanda mpaka hapo ilipo imechagizwa sana na huruma za mabeberu na jumuiya za kimataifa baada ya ile genocide.. Kumuona PK geneous ni upumbavu ulioje maana huhitaji maajabu kuifanya nchi yenye ukubwa wa wilaya moja ya tanzania na population ya karibia 11mil kuwa na maendeleo..
Serikali inasemaje juu ya hili??
Tz tuko ndani ya kumi bora!! Hiyo ni tano bora!!!Serikali inasemaje juu ya hili??
Vipi Ethiopia nayo ni kama wilaya ya Ilala?!Mkuu ukubwa wa Rwanda ni kama wilaya moja tu hapa Tanzania, wilaya ya Temeke inaweza kuwa sawa na Rwanda kiukubwa. Nafikiri hata wewe ukiambiwa ukawe Rais wa Rwanda na ukashindwa kuleta maendeleo tunaweza kukuita popoma plus.
Kagame anaweza kufanya ziara ya nchi yote ya Rwanda ndani ya siku moja tu na akamaliza.. Pia historia ya Rwanda mpaka hapo ilipo imechagizwa sana na huruma za mabeberu na jumuiya za kimataifa baada ya ile genocide.. Kumuona PK geneous ni upumbavu ulioje maana huhitaji maajabu kuifanya nchi yenye ukubwa wa wilaya moja ya tanzania na population ya karibia 11mil kuwa na maendeleo..
acha kuhadaa watu. rwanda populatio ni 12 milion na sisi ni 54 milioni. fedha ya rwanda ina thamani mara tatu zaidi kuliko yetu.Mkuu ukubwa wa Rwanda ni kama wilaya moja tu hapa Tanzania, wilaya ya Temeke inaweza kuwa sawa na Rwanda kiukubwa. Nafikiri hata wewe ukiambiwa ukawe Rais wa Rwanda na ukashindwa kuleta maendeleo tunaweza kukuita popoma plus.
Kagame anaweza kufanya ziara ya nchi yote ya Rwanda ndani ya siku moja tu na akamaliza.. Pia historia ya Rwanda mpaka hapo ilipo imechagizwa sana na huruma za mabeberu na jumuiya za kimataifa baada ya ile genocide.. Kumuona PK geneous ni upumbavu ulioje maana huhitaji maajabu kuifanya nchi yenye ukubwa wa wilaya moja ya tanzania na population ya karibia 11mil kuwa na maendeleo..
Lindi 66,040 km sqr.Mkuu ukubwa wa Rwanda ni kama wilaya moja tu hapa Tanzania, wilaya ya Temeke inaweza kuwa sawa na Rwanda kiukubwa. Nafikiri hata wewe ukiambiwa ukawe Rais wa Rwanda na ukashindwa kuleta maendeleo tunaweza kukuita popoma plus.
Kagame anaweza kufanya ziara ya nchi yote ya Rwanda ndani ya siku moja tu na akamaliza.. Pia historia ya Rwanda mpaka hapo ilipo imechagizwa sana na huruma za mabeberu na jumuiya za kimataifa baada ya ile genocide.. Kumuona PK geneous ni upumbavu ulioje maana huhitaji maajabu kuifanya nchi yenye ukubwa wa wilaya moja ya tanzania na population ya karibia 11mil kuwa na maendeleo..