yamindinda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2011
- 1,581
- 1,318
Ripoti ya Ernst and Young: Imeitaja Tanzania katika 10 Bora ya Nchi za Afrika zenye Uchumi Mkubwa, ikiwa na uchumi pekee usio na alama nyekundu (kuashiria kudorora) miongoni mwa Nchi hizo 10 za Afrika.Aidha, uwekezaji kutoka nje umetajwa kuongezeka kwa 59% kati ya 2016-2017.
https://www.ey.com/Publication/vwLU...-2018/$FILE/ey-Africa-Attractiveness-2018.pdf