Ripoti ya CAG: Zitto aamua kumtolea uvivu bwana mkubwa

HIVI ZITO ALISHAELEZEA KWANINI HALMASHAURI YAKE IMEPATA HATI CHAFU? HATUJAWAHI KUONA AKIKEMEA JAMBO LOLOTE LILILOSABABISHA HATI CHAFU. APAMBANE KWANZA NA JIMBO LAKE AACHE KUTAFUTA KICK MITANDAONI.

Queen Esther

QUOTE="Salary Slip, post: 31194451, member: 84376"]
Naomba leo nikiri kuwa,baada ya Lissu kupigwa risasi na kuwa nje ya nchi kwa matibabu,Ziito Kabwe kwa sasa ndio kachukua nafsi ya Lissu kwa kusema ukweli bila kuogopa na hakika ameweza.

Muda mfupi uliopita,kupitia twitter na facebook,ameamua kumtolea uvivu bwana mkubwa kwa kufanya manunuzi ya mabilioni pasipo kufuata sheria za matumizi ya fedha za umma.

Kupitia facebook,ndio unaweza kupata kwa urahisi yote aliyoyasema kuhusu jambo hili.

Mwisho.Pamoja na appreciation hii kwa Zitto,namshauri awe makini sana katika nyendo zake.
[/QUOTE]Zitto ndiye Mkurugenzi wa Halmashauri?? Kabla hujanijibu jiulize kwanza kwanini Wakurugenzi wa Halmashauri ni Wateule wa Rais?? Hapo ni nani atakayemgusa mteule wa Mtukufu??
 
Umakini unahitajika mkuu!Siwezi jua Zitto kajipangaje.
Subpost 1 - Udhaifu wa Serikali Katika kusimamia matumizi ya Fedha za Umma ni mk.jpg

Subpost 2 - Udhaifu wa Serikali Katika kusimamia matumizi ya Fedha za Umma ni mk.jpg
 
CAG na Zitto wanatakiwa kutuomba radhi bwana, wapiga dili tupo mitaani huku either tumeshatumbuliwa au mirija imekatwa,tumebanwa,kiongozi mtarajiwa wa malaika na watu wake no way wanaweza piga dili la 107%Hahahaha naota sijui,Kama wameweza kuwa Khangomba kwenye korosho wanashindwaje kupiga deal kwenye ununuzi wa ndege,ujenzi wa SGR au interchange ya ubungo?Kwanza wakandarasi wote anawafamu engineer huyu wa maganda ya korosho- Mungu tusaidie
 
Walikuwa wanasema hasafiri eti anazuia wizi hahahahahahahahahahahahahahaha kumbe yeye ndio mwiziiiiiiii mwiziiiii mwiziiiii
hahahahahahahhaha yaani inamaana Tuna Rais Mwizi haijawahi kutokea hahahahaha we are finished, hata huyu anaiba, I mean hajaacha kuiba kumbe
 
Yaani wizi umeongezeka kwa asilimia laki moja hahahahahahahahahahahahhha ooooh gosh . MAGUFURI Kweli, na mikwara yote ile, One hundred thousands percent
Mkuu dalili za mvua ni mawingu,watu wote wenye akili walivyoona akigombana na kila mtu mwenye mawazo tofauti na yake,akiziba midomo ya watu na kufungia magazeti,akitamani malaika wenzake washuke na kuzima mitandao ya kijamii tukajua lazima avunje record.Usije ukashangaa siku ukisikia kuwa vyumba vya Yale majumba yake ya chato vimejaa manoti ya kimarekani
 
Mwisho.Pamoja na appreciation hii kwa Zitto,namshauri awe makini sana katika nyendo zake.
Zitto yupi unaemuongelea?yule uliemwita msaliti.na.matusi.kedekede au huyo.mbunge wa twitter?
Kigoma.mjini.wananchi wangapi wanatumia.twitter?huyo ameshajijua.harudi bungeni kaamua.kubutua butua hatunyimi.usingizi
 
Huyu SS, ni mpenda mtu, amesahau kuwa Zitto amekuwa akiumbua hoja na mapungufu ya serekali ya awamu ya Mkapa, wakiti huo Lissu wala hajulikani.

Zitto mambo aliyoyafanya awamu zote mbili za kikwete zinajulikana, maumbuzi ya mapungufu ya mawaziri zaidi ya 10, ambao waliondoleqa kwenye madaraka.

Wakati Lissu akiwa mpiga makelele na kuita watu majina yasiyo na heshima.

Zitto ni kiongozi na Lissu ni mwanaharakati
 
Huyu SS, ni mpenda mtu, amesahau kuwa Zitto amekuwa akiumbua hoja na mapungufu ya serekali ya awamu ya Mkapa, wakiti huo Lissu wala hajulikani.

Zitto mambo aliyoyafanya awamu zote mbili za kikwete zinajulikana, maumbuzi ya mapungufu ya mawaziri zaidi ya 10, ambao waliondoleqa kwenye madaraka.

Wakati Lissu akiwa mpiga makelele na kuita watu majina yasiyo na heshima.

Zitto ni kiongozi na Lissu ni mwanaharakati
wewe nae grow up. Hapa tunazungumzia report ya CAG acha kuzungumzia watu.
 
Zitto yupi unaemuongelea?yule uliemwita msaliti.na.matusi.kedekede au huyo.mbunge wa twitter?
Kigoma.mjini.wananchi wangapi wanatumia.twitter?huyo ameshajijua.harudi bungeni kaamua.kubutua butua hatunyimi.usingizi

Kwani bungeni ndio ukweli unaposemwa tu? Ubunge unaona ni bonge la issue mpaka umtishie mtu anayesema ukweli? Huo uchaguzi wa kutumia wasimamizi waliohongwa hizo hela za wizi ndio unatambia kwamba hatarudi bungeni?
 
Huyu SS, ni mpenda mtu, amesahau kuwa Zitto amekuwa akiumbua hoja na mapungufu ya serekali ya awamu ya Mkapa, wakiti huo Lissu wala hajulikani.

Zitto mambo aliyoyafanya awamu zote mbili za kikwete zinajulikana, maumbuzi ya mapungufu ya mawaziri zaidi ya 10, ambao waliondoleqa kwenye madaraka.

Wakati Lissu akiwa mpiga makelele na kuita watu majina yasiyo na heshima.

Zitto ni kiongozi na Lissu ni mwanaharakati

Hoja yako ni nini hapa? Maana hata wakati Zidane anatamba Messi alikuwa hajulikani, lakini haimaanishi kwamba Messi sio mchezaji mzuri kisa Zidane alitamba zamani.
 
Back
Top Bottom