Ripoti ya CAG safari hii inaweza kutuacha wengi midomo wazi

zilitumika kwenye mchakato wa uhakiki wa watumishi hewa na vyeti vya taaluma.ijayo itatumika kutafiti mafanikio ya zoezi hilo na mwaka utakaofuata ni kuangalia njia bora za kuzuia tatizo hilo lisitokee tena.
 
Tuliwaambia Jk ndio Rais wa Kwanza kuwa na Ujasiri wa kuruhusu report ya CAG Bungeni Tangu Dunia iumbwe na huenda tusipate Tena Rais mweny uthubutu wa namna hiyo hivi karibuni.

Zile kelele nying za Ufisadi wakat wa Jk zilisikika sana tukadhan Utawala wake ndio ulikuwa na ufisadi sana. Siku hizi hatutaskia tena Kelele za Ufisadi na tutashangilia ufisadi umeisha.
 
Tuliwaambia Jk ndio Rais wa Kwanza kuwa na Ujasiri wa kuruhusu report ya CAG Bungeni Tangu Dunia iumbwe na huenda tusipate Tena Rais mweny uthubutu wa namna hiyo hivi karibuni.

Zile kelele nying za Ufisadi wakat wa Jk zilisikika sana tukadhan Utawala wake ndio ulikuwa na ufisadi sana. Siku hizi hatutaskia tena Kelele za Ufisadi na tutashangilia ufisadi umeisha.
Utaratibu wa ripoti ya CAG kuendelea kuwasilishwa Bungeni sidhani kama utaendelea katika awamu hii.Itatafutwa sababu ya kuufuta huo utaratibu.
 
Dah kila nikitaka kuombea nchi yangu I see the devil coming in a supersonic speed and I become powerless I fail to understand what has happened to my beloved country? But finally I come to realize that the government is the great hindrance to our nation's prosperity because the power is in the arms of a single venerated misleader
He is not leader... he is doent qualify to be a president, he is just a angry guy from no where with no idea about what good leadership is.
 
Hii report inaweza kufichua mengi, na pia iksahngaza wengi.. haswa kwa hali ilivyo sasa. Mawili yanaweza yakatokea.. report itatengenezwa yenye false data...or kutatokea jambo ili report isifike bungeni.. na kwa uongozi huu ulivyo.. sitoshangaa yakitokea hayo.
 
Nasubiri ripoti kuhusu Bombardier,ujenzi wa hostel I UDSM,majengo ya magereza,mshahara ya Bashite,kuhamia dodoma(kwa vote ipi na bajeti ipi) uvunjaji mikataba ya wawekezaji,kukagua Mara kumi kumi wafanyakazi hewa,mikutano ya makonda na safari zake ulaya na marekani,
 
kwan CAG haja pgwa ban na gavarmen ya mtukufu,mbaya zaid kama aligusa maslah yake atampaje mgao wa kuumbua uozo ingawa najua hata kama kapewa hawez sema lolote ktk utawala huu!
 
Dah kila nikitaka kuombea nchi yangu I see the devil coming in a supersonic speed and I become powerless I fail to understand what has happened to my beloved country? But finally I come to realize that the government is the great hindrance to our nation's prosperity because the power is in the arms of a single venerated misleader

We have decided to belittle the presidency position. We have made a simple assumption that even an average jo can become a president
 
Ile aliyokabidhiwa Magufuli mwaka jana mpaka hii leo inapigwa vumbi ofisini kwake na haijawahi kujadiliwa bungeni kisa ina ufisadi uliofanywa na Magufuli kabla ya kuingia Ikulu.

Kuna kila sababu CAG akague kuhusu ununuzi wa ndege ambao umekiuka taratibu za Serikali za manunuzi na pesa zilizotumika 1 trilioni hazikuidhinishwa na Bunge.
Mkuu,yameanza kutimia kuhusiana na ujenzi wa hostel za UDSM.

Zitto kamlipua mkulu.
 
Tujiandae kuwa na CAG mpya muda c mrefu , kama tulivyopata IGP , Gavana, Mhazini, etc ..siyo kwa utendeji mbovu ila the other way around
 
Mkuu mie simkatishi tamaa. Nataka aendelee kumuanika hadharani huyu muongo, lakini ukweli pia tunaujua ila nadhani Zitto baada ya kumuona Lissu amepata ujasiri mkubwa hivyo ameamua kuvaa viatu vyake ili kuendeleza mapambano na huyu dikteta uchwara anayeivuruga nchi yetu pendwa.

Tusimkatishe zitto tamaa tuendelee kumuombea na kumtia moyo
 
Pamoja mkuu
Mkuu mie simkatishi tamaa. Nataka aendelee kumuanika hadharani huyu muongo, lakini ukweli pia tunaujua ila nadhani Zitto baada ya kumuona Lissu amepata ujasiri mkubwa hivyo ameamua kuvaa viatu vyake ili kuendeleza mapambano na huyu dikteta uchwara anayeivuruga nchi yetu pendwa.
 
Back
Top Bottom