Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
Ilikuwa jumatatu ya wiki hii tulipopewa taharifa kwamba ripoti ile ilihairishwa kuwekwa hadaharani mbele ya madiwani wa manispaa na kwamba zoezi hilo lingefanyika leo Ijumaa,walioko maeneo tunaomba taharifa endapo ni leo ama imebadilishwa tena na labda updates zikoje
Mods kama kuna thread ya leo inahusiana na taharifa hii basi mnaweza kuziunganisha.
Mods kama kuna thread ya leo inahusiana na taharifa hii basi mnaweza kuziunganisha.