Malalamiko yamekuwa mengi kipindi cha karibuni. Tulitegemea CAG apite huko akague na ashauri namna nzuri ya urejeshwaji wa mikopo hiyo.
Ila sijasikia chochote kuhusu bodi hii inayolalamikiwa na wasomi wengi Tanzania. Mheshimiwa Rais muagize tena Kichere apite huku kwa mustakabali mwema wa taifa letu.
"Pamoja tunaweza"
Ila sijasikia chochote kuhusu bodi hii inayolalamikiwa na wasomi wengi Tanzania. Mheshimiwa Rais muagize tena Kichere apite huku kwa mustakabali mwema wa taifa letu.
"Pamoja tunaweza"