Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 873
- 4,063
Ripoti ya CAG imeshazimwa, kelele zimeisha tunasubiri ripoti ijayo tuone tumeibiwa kiasi gani tena. That's how life goes in Tanzania. Maisha ya vimemo nakujuana.
Lakini haya kwanini yanatokea? Yanatokea Kwa Sababu irregularities nyingi zinatokana na matamko ya viongozi wakuu wa nchi na hivyo likiaribika wao wanashindwa kukwepa lawama.
Sheria inasema hivi then Mawaziri au mabosi zao wanaelekeza hivi na vile, ikitokea tatizo wanaambiwa ninyi ndio mmetufikisha hapa.....ukimya unatawala.
Lakini pia wanaosababisha hoja za billions wote Wana kinga ya kuishtakiwa so Nani anachunguza MTU mwenye kinga?
Mkapa pekee ndiye Rais aliyekubali uchunguzi ukafanyika Bila kuweka mashinikizo dhidi ya utawala wa Jk nakuruhusu kesi ya Costa Mahalu ifike mahakamani na yeye akaenda kutoa ushahidi. Waliobaki wakisikia kuna uchunguzi unawahusu hata kama wanakwenda kuwa mashahidi lazima wazima uchunguzi.
Mwisho WA siku namwona CAG kama mbadhirifu Kwa Sababu anatumia billions kuchunguza na kufanya ukaguzi huku akijua wazi ripoti zake hazina tija kwenye mfumo tuliopo.
Ningekuwa yeye ningeacha kufanya ukaguzi nikaelekeza fedha nilizopewa zikajenge hospitali.
Lakini haya kwanini yanatokea? Yanatokea Kwa Sababu irregularities nyingi zinatokana na matamko ya viongozi wakuu wa nchi na hivyo likiaribika wao wanashindwa kukwepa lawama.
Sheria inasema hivi then Mawaziri au mabosi zao wanaelekeza hivi na vile, ikitokea tatizo wanaambiwa ninyi ndio mmetufikisha hapa.....ukimya unatawala.
Lakini pia wanaosababisha hoja za billions wote Wana kinga ya kuishtakiwa so Nani anachunguza MTU mwenye kinga?
Mkapa pekee ndiye Rais aliyekubali uchunguzi ukafanyika Bila kuweka mashinikizo dhidi ya utawala wa Jk nakuruhusu kesi ya Costa Mahalu ifike mahakamani na yeye akaenda kutoa ushahidi. Waliobaki wakisikia kuna uchunguzi unawahusu hata kama wanakwenda kuwa mashahidi lazima wazima uchunguzi.
Mwisho WA siku namwona CAG kama mbadhirifu Kwa Sababu anatumia billions kuchunguza na kufanya ukaguzi huku akijua wazi ripoti zake hazina tija kwenye mfumo tuliopo.
Ningekuwa yeye ningeacha kufanya ukaguzi nikaelekeza fedha nilizopewa zikajenge hospitali.