Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 48,928
- 54,150
Mwafaa!😀😄😅mnanielewa ndugu zangu,hi hi hiiiiii
Mwafaa!😀😄😅mnanielewa ndugu zangu,hi hi hiiiiii
Tumeliwa Sana Ndugu ZanguJiwe alituchezea "kweri kweri"
Kuna mambo mengi sana yanafikirisha kwenye hili sakata jipya la ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kuhusu kuibua madudu mengi ambayo serikali iliyokuwa chini ya hayati JPM yamejitokeza...
"Na huu ndio ukweli wenyewee"Tumeliwa Sana Ndugu Zangu
Tumechezewa Sana Ndugu Zangu
WasalaamSiku ya leo sijui tuuiteje huko; Mbaya? Au nzuri sana?
Ripoti ya mkaguzi mkuu wa serikali inayoendelea kusomwa muda huu si kwamba tu inawaweka CCM na watetezi wa mwendazake kwenye wakati mgumu sana, lakini tayari imechefua wananchi wengi kwa kiwango kisichomithilika...
Mbunge wa ccm akikutwa na tuhuma au ufisadi ni nini hatuna ya ubunge wake? Mfano kibwangala na prof Adolf Mkenda?Kuna mambo mengi sana yanafikirisha kwenye hili sakata jipya la ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kuhusu kuibua madudu mengi ambayo serikali iliyokuwa chini ya hayati JPM yamejitokeza...
Yaaani mataga bwana.... nyie si ndo mlikua mnasema Mwendazake kafyekelea mbali ufisadi? Kuna ndege imelala aiport toka 2015 ila mnatoa pesa za maintanance. Mnanunua na nyingine... unataka kuniambia alikua hajui? Yaani wizara zifanye ubadhirifu halafu asijue wakati kina Aika walikula buku 20 za wamachinga wanatakiwa kuzilipa
CAG ametajwa kwenye katiba ya nchi na kuwa haingiliwi na mhimili wowote katika kufanya kazi zake za kukagua matumizi ya fedha za ummaKuna mambo mengi sana yanafikirisha kwenye hili sakata jipya la ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kuhusu kuibua madudu mengi ambayo serikali iliyokuwa chini ya hayati JPM yamejitokeza...
Akija mwingine mambo ni Hays Hays kuibua madudu ya Samoa pia.Naye atadai kuwa tulichezewa mnoMada ya 2018
Awamu ya tano imetupa pembeni utaratibu wa zabuni na sasa inaamua na kufanya manunuzi au kuingia mikataba wenyewe kwa amri toka juu...
Rejea hii itatukumbusha siku za usoni na hasa kwa Miradi hii.
1. Uwanja wa ndege chato
2. Vitambulisho vya utaifa
3. Fly overs
4. Bombadier
5. Tenda za ujenzi za TBA n.k
6. SGR
7. Bwawa la umeme
Kwa kumalizia tuu.... nimeandika hayo nikiwa full detailed. Kuna vitu duniani havichiki navyo ni Jua mwezi na ukweli.
MUDA NI HAKIMU WA YOTE!!
Credit kwako Lusungo
aaaaaa apatikane wa kwenda kuugonga mlango wa kaburi aje atueleze huu upigaji wa kiwango cha standard geji ilikuwaje akimalize arudi usingizi wake, au akiamka atampiga biti naye CAG atachomoa kitabu cha pili na kusema hii ripoti ya kwanza ilikuwa feki ngojeni niwasilishe upyaMagu aamshwe aeleze kwaa nini alitudanganya
Nipambanie nini?
Kuna mwaka ambao CAG hajawahi kuleta haya mambo?
Shida ni kwamba jamaa alikuwa hataki mambo ya michakato! Ukiwa na falsafa ya kutotaka michakato lazima uhusishwe na wizi! Kimsingi yeye anajua hela ipo na anataka kukamilisha jambo flani kwa maslahi mapana ya taifa😸 ila kupitia mijadala ya bunge hela zingetoka vile vile japo kwa kelele nyingi! Hayo ndio mzee hakuyataka.Hela nyingi za utekelezaji wa miradi ya mwendazake ilikua haipati baraka za bunge
Hivyo hatujui ni sh ngapi zilikua zinaenda...
Mpaka wizara ya utarii, kigwangwala, kafanya utopolo,1. Si mimi ninayeichafua awamu ya tano, ni ripoti ya CAG
2. Si kila kilichofanyika katika awamu ya tano, madudu yametajwa kila moja kwenye eneo lake
aaaaaa apatikane wa kwenda kuugonga mlango wa kaburi aje atueleze huu upigaji wa kiwango cha standard geji ilikuwaje akimalize arudi usingizi wake, au akiamka atampiga biti naye CAG atachomoa kitabu cha pili na kusema hii ripoti ya kwanza ilikuwa feki ngojeni niwasilishe upya