Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,441
- 215,214
- Thread starter
- #21
Hao wengine wana mbeleko na wala hawajawahi kushambuliwa na TAKUKURU , Chadema haina MbelekoHati safi
Act wazalendo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wengine wana mbeleko na wala hawajawahi kushambuliwa na TAKUKURU , Chadema haina MbelekoHati safi
Act wazalendo...
Hao wengine wana mbeleko na wala hawajawahi kushambuliwa na TAKUKURU , Chadema haina Mbeleko
Kwa ripoti ipi sasa
una uhakika ?Hakuna cha mbeleko hapo. Mwendazake keshaondoka hivyo CAG hana presha ya kuficha madudu
First impression.. Last conclusion... Highlights zinatosha kutoa picha nzima..Kwa nini usisome report boss?
CHADEMA hoyeeeeeee!Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) , chama cha siasa ambacho kimeshikilia rekodi ya dunia ya kushambuliwa na serikali , kimeonekana na CAG kuwa chama kinachozingatia weledi katika matumizi ya pesa zake , na hivyo kuudhihirishia ulimwengu kuhusu umakini wa viongozi wake...
una uhakika ?
Soma vizuri ufisadi uliofanyika gharama yake wangeweza kujenga ofisi ya ghorofa tatu!Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) , chama cha siasa ambacho kimeshikilia rekodi ya dunia ya kushambuliwa na serikali , kimeonekana na CAG kuwa chama kinachozingatia weledi katika matumizi ya pesa zake , na hivyo kuudhihirishia ulimwengu kuhusu umakini wa viongozi wake , jambo lililopelekea kuiumbua vibaya sana TAKUKURU iliyowahi kutumika kushambulia chama hiki kwa kutumwa na mtu duni aitwaye Lijuakali...
Kwa nini anakagua ma vyama ambavyo havipati ruzuku; ninajua kuwa jukumu lake ni kukagua matumizi ya hela za umma tu. Kwa vyama vya watu binafsi asingejishughulisha navyo kama ambavyo amefanya kwa DP na CHAUMMA.Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) , chama cha siasa ambacho kimeshikilia rekodi ya dunia ya kushambuliwa na serikali , kimeonekana na CAG kuwa chama kinachozingatia weledi katika matumizi ya pesa zake...
Kama anatumia akili sana kula hiyo hela yuko sahihi, hayo ni malipo kwa ajili yake anayotumia!Hela anakula Mbowe kwa akili sana tena kwa maandishi,
Nyie misukule wake hamuwezi kuona lolote
Mimi nasema kila siku, hakuna haja ya uchaguzi tena, mim ni CHADEMA lakini jinsi mama anavyo nifurahisha sioni kwanini tuvuruge pesa ajili ya uchaguzi, mama yetu awe Rais wa kudumu Tanzania, Ogopa Rais anaye kubalika mpaka na Mwenyekiti wetu Mbowe na Godbles, wito wangu Lema na Lisu warudi tu nchini tuijenge nchi yetuChama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) , chama cha siasa ambacho kimeshikilia rekodi ya dunia ya kushambuliwa na serikali , kimeonekana na CAG kuwa chama kinachozingatia weledi katika matumizi ya pesa zake...
😆😆😆 Pole mnyongeKwa nini anakagua ma vyama ambavyo havipati ruzuku; ninajua kuwa jukumu lake ni kukagua matumizi ya hela za umma tu. Kwa vyama vya watu binafsi asingejishughulisha navyo kama ambavyo amefanya kwa DP na CHAUMMA.
Muda na raslimali ambazo maodita wake wamepitia katika kukagua vyama hivyo ni mtumizi mabaya ya mali za umma anazotakiwa kulinda.
wadanganye wanyonge wenzioChadema wanaingizwa mkenge!
Taratibu wanajifix kwenye mtego wa mamba.