Ripoti ya CAG 2021/22: Hizi ndio Wizara 5 zilizofanya ubadhirifu wa Tsh. Bilioni 212 za UVIKO-19

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,368
8,102
Ripoti hiyo ya CAG imeibua hoja nyingi zinazoonyesha matumizi mabaya ya fedha hizo zilizopelekwa kwenye wizara mbalimbali za serikali (Afya, Elimu, Utalii, Maji na Watu wenye Ulemavu). Jumla ya thamani ya hoja zote za ukaguzi zinazoashiria kuwepo kwa matumizi mabaya zinathamani ya Shilingi Bilioni 212.1, sawa na asilimia 17.06 ya fedha zote za mkopo zilitolewa ambazo ni shilingi Trilioni 1.24.

Mgawanyo wa thamani ya hoja za ukaguzi kwa kila wizara ni kama ifuatavyo;

• Wizara ya Afya - Tsh. Bilioni 91
• Wizara ya Elimu - Tsh. ilioni 33.5
• Wizara ya Maji - Tsh. Bilioni 82.8
• Wizara ya Maliasili na Utalii - Tsh. Bilioni 1.2
• Hifadhi ya Jamii (TASAF) - Tsh. Bilioni 1.5
• Wizara ya Maendeleo ya Jamii - Tsh. Milioni 141.

Katika hoja hizi ambazo nyingi zinahusu manunuzi, CAG amebaini kwamba kuna baadhi ya vifaa kama vile Magari kwenye sekta za Afya na Elimu hayakufika hadi tarehe ya ukaguzi. Usimamizi mbovu wa matumizi ya fedha hizi za mkopo unatoa sura kwa namna gani Serikali inashindwa kuwajibika.
 
Maana yake kwenye ule mkopo wa tril 1.3 hizo zote zimepugwa
 
Ripoti hiyo ya CAG imeibua hoja nyingi zinazoonyesha matumizi mabaya ya fedha hizo zilizopelekwa kwenye wizara mbalimbali za serikali (Afya, Elimu, Utalii, Maji na Watu wenye Ulemavu). Jumla ya thamani ya hoja zote za ukaguzi zinazoashiria kuwepo kwa matumizi mabaya zinathamani ya Shilingi Bilioni 212.1, sawa na asilimia 17.06 ya fedha zote za mkopo zilitolewa ambazo ni shilingi Trilioni 1.24.

Mgawanyo wa thamani ya hoja za ukaguzi kwa kila wizara ni kama ifuatavyo;

• Wizara ya Afya - Tsh. Bilioni 91
• Wizara ya Elimu - Tsh. ilioni 33.5
• Wizara ya Maji - Tsh. Bilioni 82.8
• Wizara ya Maliasili na Utalii - Tsh. Bilioni 1.2
• Hifadhi ya Jamii (TASAF) - Tsh. Bilioni 1.5
• Wizara ya Maendeleo ya Jamii - Tsh. Milioni 141.

Katika hoja hizi ambazo nyingi zinahusu manunuzi, CAG amebaini kwamba kuna baadhi ya vifaa kama vile Magari kwenye sekta za Afya na Elimu hayakufika hadi tarehe ya ukaguzi. Usimamizi mbovu wa matumizi ya fedha hizi za mkopo unatoa sura kwa namna gani Serikali inashindwa kuwajibika.
Tamisemi wamepona?
 
Alafu wanakuja kutukamua wavuja kasho tozo Mara leseni ya biashara Mara makadirio ya biashara yaani navyojibana nalipa Kodi alafu watu wanazipigia chapuo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Guys, ukipata nafasi ya kupiga pesa za serikali basi hakikisha unazipiga kisawa sawa hadi uwekwe kwenye vitabu vya kumbukumbu.
 
Niliwahi kuandika uzi hapa nikimsema ummy mwalimu na wizara yake ya afya kuna upigaji mkubwa wa fedha za serikali unaendelea....kuna yule accountant wa wizara ya afya yule mama anahusishwa katika mipango mingi ya upigaji wa fedha za serikali zinazowekwa katika wizara hii......accountant mama saria acha wa wizara acha kuhusishwa kwenye wizi
 
Wameiba mihela yote hiyo mimi leo nimeshinda njaa 🥱
Sio kwamba kiasi kinachotajwa kwenye Ukaguzi ni lazima kiwe wizi. Hizo ni hoja tuu ambazo zinapewa muda kujibuwa na zikijobiwa vizuri zinafutwa.Na zikikosa maelezo ndio inakuwa issue
 
Ripoti hiyo ya CAG imeibua hoja nyingi zinazoonyesha matumizi mabaya ya fedha hizo zilizopelekwa kwenye wizara mbalimbali za serikali (Afya, Elimu, Utalii, Maji na Watu wenye Ulemavu). Jumla ya thamani ya hoja zote za ukaguzi zinazoashiria kuwepo kwa matumizi mabaya zinathamani ya Shilingi Bilioni 212.1, sawa na asilimia 17.06 ya fedha zote za mkopo zilitolewa ambazo ni shilingi Trilioni 1.24.

Mgawanyo wa thamani ya hoja za ukaguzi kwa kila wizara ni kama ifuatavyo;

• Wizara ya Afya - Tsh. Bilioni 91
• Wizara ya Elimu - Tsh. ilioni 33.5
• Wizara ya Maji - Tsh. Bilioni 82.8
• Wizara ya Maliasili na Utalii - Tsh. Bilioni 1.2
• Hifadhi ya Jamii (TASAF) - Tsh. Bilioni 1.5
• Wizara ya Maendeleo ya Jamii - Tsh. Milioni 141.

Katika hoja hizi ambazo nyingi zinahusu manunuzi, CAG amebaini kwamba kuna baadhi ya vifaa kama vile Magari kwenye sekta za Afya na Elimu hayakufika hadi tarehe ya ukaguzi. Usimamizi mbovu wa matumizi ya fedha hizi za mkopo unatoa sura kwa namna gani Serikali inashindwa kuwajibika.
Kweli serikali imeshindwa kuwajibika. Wanasiasa wanaoneana aibu.
Kwanini tangu ripoti itolewe mpaka leo hao mawaziri hawawajibishwi?

Wao sindio wanasoma bajeti na kuzitetea kwa kila namna sasa wasiposimamia mbona wanaachwa

Mama serikali haijawajibisha mafisadi
 
Mgawanyo wa thamani ya hoja za ukaguzi kwa kila wizara ni kama ifuatavyo;

• Wizara ya Afya - Tsh. Bilioni 91
• Wizara ya Elimu - Tsh. ilioni 33.5
• Wizara ya Maji - Tsh. Bilioni 82.8
• Wizara ya Maliasili na Utalii - Tsh. Bilioni 1.2
• Hifadhi ya Jamii (TASAF) - Tsh. Bilioni 1.5
• Wizara ya Maendeleo ya Jamii - Tsh. Milioni 141.
Halafu mtu anakuja hapa anasema prof Mkenda ni kiongozi, sijui Ummy ni waziri mkuu ajae, Jenista Mhagama sijui anauzoefu kwenye mawizara, Pindi Chana sijui ni balozi,sijui Aweso anafaa kua wizarani hapo hata kwa miaka 20.
CAG ameonesha uozo,utumbo,uharo,ubadhirifu unalitia taifa aibu. Wapelekwe mahakamani watoke kwa plea bargaining kama sio wezi niwazembe
 
Back
Top Bottom