Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,455
- 29,134
Kwema Wakuu,
Kwa mujibu wa Report ya CAG, makampuni haya yalipaswa kutoza US$ 150 kama ada ya ukaguzi lakini yamekuwa yakitoza kuanzia US$ 300 na kuendelea kiasi cha kupelekea Watanzania kuibiwa kiasi cha TZS 21Bil kwa miaka miwili tu.
Makampuni hayo ni SBT, Autorec, TradeCarView, Befoward na Real Motors. Ameilaumu pia Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa wizi huu.
Kwa mujibu wa Report ya CAG, makampuni haya yalipaswa kutoza US$ 150 kama ada ya ukaguzi lakini yamekuwa yakitoza kuanzia US$ 300 na kuendelea kiasi cha kupelekea Watanzania kuibiwa kiasi cha TZS 21Bil kwa miaka miwili tu.
Makampuni hayo ni SBT, Autorec, TradeCarView, Befoward na Real Motors. Ameilaumu pia Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa wizi huu.