Witmak255
JF-Expert Member
- Feb 5, 2019
- 3,264
- 5,403
Wakati Mheshimiwa Rais Magufuli anatumia bei ya kununua Passo used (5m) kuchora Twiga kwenye Bombadia, Kuna wazee Pale bank ya posta (TPB) - Tanzania Postal Bank wametumia Tshs 495 (milioni mia nne tisini na tano) kuchora hii logo (pichani) yenye nembo yao
Nimecheka sana, Anyway maisha lazma yaendelee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheka sana, Anyway maisha lazma yaendelee.
Sent using Jamii Forums mobile app