Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,939
- 20,399
Mauritius aliyeshika No. 1 yeye hua anaibiwa nini?
Wanaibiwa pato lao la taifa kupitia Utalii.
Biashara nyingi inashikwa na wageni.
Fungate nyingi na vekesheni hufanyika Mauritius.
Ndo maana hadi sasa katika Afrika Mauritius ndo nchi pekee ambayo huendi karantini ukiingia Ulaya.