N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,528
Ripoti maalumu ya wakfu wa the World Linguistic Society imeitaja Uganda kama nchi kinara kwa kuzungumza Kiingereza fasaha Barani Afrika. Ripoti wakfu huo inazitaja nchi nyingine kuwa ni Zambia na Afrika Kusini.
Maoni yangu:
Wakenya muache kiburi na majisifu ninyi Kiingereza wepesi sana Uganda ndo wababe wa lugha ya Malkia.
Maoni yangu:
Wakenya muache kiburi na majisifu ninyi Kiingereza wepesi sana Uganda ndo wababe wa lugha ya Malkia.