Ripoti: Serikali haikutaka tujue- Vinara wa Rushwa ni Watumishi wa Umma na Wanasiasa

Labda watu wapate nafasi ya kupitia hizi ripoti ili kusoma na kujiuliza maswali sahihi. NI lazima tukumbuke kuwa ni jukumu letu kupima ushahidi ulioko mbele yetu, kujiuliza maswali sahihi na kuweza kutengeneza mahitimisho ambayo yanaendana na ule ushahidi uliopo. Usikubali tu kauli zilizoko kwenye ripoti hii bila wewe mwenyewe kuona mapengo (gaps) ndani ya ripoti nzima. Vinginevyo utaanza kuimba wimbo wa watawala alimradi wamekupa kibwagizo.
 
Labda watu wapate nafasi ya kupitia hizi ripoti ili kusoma na kujiuliza maswali sahihi. NI lazima tukumbuke kuwa ni jukumu letu kupima ushahidi ulioko mbele yetu, kujiuliza maswali sahihi na kuweza kutengeneza mahitimisho ambayo yanaendana na ule ushahidi uliopo. Usikubali tu kauli zilizoko kwenye ripoti hii bila wewe mwenyewe kuona mapengo (gaps) ndani ya ripoti nzima. Vinginevyo utaanza kuimba wimbo wa watawala alimradi wamekupa kibwagizo.
Nimeisoma twice,haiibani central government which is sickening,imetoa scores nzuri kwa parliament,district commissioners,ripoti pia inaonyesha 64% ya households think that elections were fair,imeonyesha mkoa wa mara kuwa most corrupt(why?),imetoa very good scores kwenye haki za binadamu......completely against this thread.
I'm surprised myself as to why people will think the way they responded on this research but it wouldn't have hindered or even bring about significant changes in election results had it been released prior to 2010 general elections.
 
Kutoka Fikra Pevu
Rushwa? Watumishi na Wanasiasa



Wananchi waonesha Dalili ya KUKATA TAMAA

Ripoti ya Tathmini ya Rushwa nchini ambayo ilikuwa imecheleweshwa kuwekwa hadharani kwa miaka miwili na TAKUKURU hadi Rais Kikwete alipoagiza iwekwe hadharani wiki iliyopita inaonesha kuwa wananchi wengi wa Tanzania wanaona kuwa wanasiasa na watendaji mbalimbali nchini ndio vinara wa rushwa.

Akiandika katika utangulizi wa ripoti hiyo Rais Kikwete amekiri kuwa watendaji wa serikali yake wanaonekana na wananchi kuwa ndio vyanzo vya rushwa kutokana na uroho wao. “Rushwa imeenea sana na ni kikwazo kikubwa cha juhudi za maendeleo; chanzo kikuu cha rushwa ni tamaa ya watumishi wa umma na wafanyabiashara” amesema Rais Kikwete.

Hukumu hii ya wananchi dhidi ya serikali na watendaji wake imekuja kuthibitisha kile ambacho tayari ripoti mbalimbali kabla yake zilishakionesha kuwa rushwa ni tatizo ambalo limejikita katika jamii yetu katika ngazi mbalimbali na taasisi mbalimbali nchini. Rais Kikwete akiandika katika utangulizi huo anasema “katika baadhi ya sekta za umma, rushwa imekuwa ni jambo la kawaida”

SOMA ZAIDI HAPA:

RIPOTI TATU ZIMEAMBATANISHWA CHINI

Volume 4 (Ya Public Officials)

Jamani mpaka wasukumwe na wazungu?!! Hii Nchi ni ya nani!? Mbona wazungu wanaumia kuliko Serikali yetu?!!
Ripoti mpaka ina mambo ya kufanya kupambana na Rushwa, Kikwete una nia gani na Nchi hii? Tuwaite waDanish tuwakabidhi Serikali. Kweli tunahitaji mwekezaji wa IKULU!! SHAME !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nimeisoma twice,haiibani central government which is sickening,imetoa scores nzuri kwa parliament,district commissioners,ripoti pia inaonyesha 64% ya households think that elections were fair

What elections? Ripoti iliandikwa 2009 so ni wazi haizungumzii uchaguzi wa 2010 if thats what you implied.

,imeonyesha mkoa wa mara kuwa most corrupt(why?),imetoa very good scores kwenye haki za binadamu......completely against this thread.
I'm surprised myself as to why people will think the way they responded on this research but it wouldn't have hindered or even bring about significant changes in election results had it been released prior to 2010 general elections.

mzee sidhani kama ingesababisha mabadiliko makubwa kwenye "matokeo ya uchaguzi" lakini naamini ingeweza kutumika kwenye kampeni za kisiasa na kuwalazimisha CCM kujibu baadhi ya hoja zilizomo humu. Si umeona ripoti za CAGs zinavyotumiwa?
 
Nakubaliana nawe kuwa ungekuwa ni ushahidi mzuri kwenye kampeni,ila nadhani watu walimuamini Slaa et al walipokuwa wanakemea corruption,that was known!.CCM leadsership iliyopo sasa hivi haijali sana watu watasema nini,they sell hope to the poorest and bribe/use force on the educated/enlightened people.
What really concern me is the DONORS,the report is donor-friendly.And they are the ones that can really shake the government.
 
aisee ukifika mwishoni na hasa ukiangalia ripoti moja moja hizo figures zinatisha; kuna hali ya kukata tamaa sana kati ya wananchi. Najiuliza hii iripoti kweli waliitaka itolewe au ndio hakuna jinsi tena maana kama ni mashtaka yaliyoimo humu ndani ukiunganisha na ripoti za CAGs basi wanasema "tumekwisha"

Hawakuwa na jinsi maana wajamaa walitaka hata kungoa tanki la gesi kwa ajili ya oxygen machine.

Kuna mambo mamiwili nadhani ya kujiuliza
1 - Kwa nini hii report inatolewa kwa umma in English
2- Report ya PCCB lakini 'Foward' imeandikwa na Rais? who is reporting to who?
 
Yaani ukisoma hii ripoti utaelewa ni kwanini ilicheleweshwa kutolea wakati wa mwaka wa uchaguzi. Wametoa kisingizio ati haikujadiliwa na Baraza la Mawaziri. Ripoti hii ingetoka wakati wa uchaguzi au mwaka wa uchaguzi....

Kwa hili kikwete namuona ni mbinafsi kwasababu amesubiri upite kwanza uchaguzi, then itoke kwasababu haitaathiri maslahi yake ila wanaofuata kivyao. Kikwete lazima ajue tabia yake ya fitina hata watoto wa shule ya msingi wanafahamu ndiyo maana hata ukimuuliza mtoto wa shule ya msingi kuhusiana na yaliyomkuta Babu seya watakuaambia niyeye na fitina zake japo hakuna mahala palipoandikwa hayo. ninachukia sana tabia hii ya unafiki
 
Kama mpaka kwenye shina kungekuwa na wasomaji basi tungeona mabadiliko makubwa ya utendaji...

Inategemea kama mabadiliko yenyewe yatakuwa kushutumu zaidi na zaidi ama kubadilika kuanzia majumbani, mabarabarani, maofisini na hata katika madanguro.......

Hivi ripoti zingine za masuala ya rushwa ziliwahi kuwekwa hadharani? Kama hapana basi naamini huu ni wakati muafaka wa kufanya hivyo kama ilivyokuwa katika mchakato na baadaye ripoti ya Sera ya Madini...

taratibu tutafika......
 
Good that the report is out.My take: Kwa kuwa asilimia ya umma mkubwa wa Watanzania wako vijijini na ndio wenye decisive votes katika suala zima la kuondoa dola dhalimu kwao,na kwa vile suala zima la uelewa wa nini kinaendelea nchini mwao wengi hawalijui, mi naona moja wapo ya jitihada za kufanywa na chama kama chadema ni kujitahidi kusambaza awareness(kama wanavyofanya kwa mikutano yao) kwa ku translate hizi documents muhimu kama hii report ya rushwa wakaiweka (wao wenyewe chadema) kwa kiswahili na kuisambaza nchi nzima wao wenyewe ili wananchi waisome waelewe kinachoendelea kwasababu kazi ya ku disseminate reports nchi hii haifanyiki kabisa (report nyingi zinaishia kwa makabati ya viongozi maofisini).Hizi report zenye maslahi ya kitaifa ambazo nyingi raia maskini vijijini hawazijui zingesaidia sana kufanya maamuzi magumu na ya msingi juu ya maisha yao haswa wakati wa uchaguzi........
 
Nani mwenye shida na hizi desa, tunachohitaji kuona ni majina ya watuhumiwa na si desa.
 
ni kwa vile tu pccb inawajibika kwa rais na inabidi ripoti kama hii apelekewe kama boc. hivyo kuna kumung'unya maneno kwa nguvu. ingekuwa ni ripoti itolewayo na pccb kama taasisi huru tungeambiwa ofisi ya rais inaongoza kwa kutuhumiwa rushwa au rais mwenyewe anatuhumiwa kwa rushwa. ndio maana kuna haja ya kuwa na katiba itakayoondoa hali kama hizi ili taasis zifanye kazi zake kwa uhuru na uwazi zaidi
 
By In2EastAfrica - Wed May 18, 11:24 pm



Prof-Abdallah-Safari.jpg
Prof Abdallah Safari


Politicians yesterday received the National Governance and Corruption Survey report with mixed reactions. Many believe the government was not doing enough to fight corruption, The Citizen can report.

They expressed their views a day after the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) released the report on its website, albeit after pressure from the donor community.A prominent lawyer-cum-politician, Prof Abdallah Safari, said it was amazing that the government had not addressed the vice accordingly. He was of the view that there was nothing new in the report that was not in that of former Prime Minister Joseph Warioba on matters relating to corruption.

He said issues mentioned in the PCCB report were also in the Warioba dossier, and still a big challenge to the country because the government had not put in enough effort to curb corruption."President Jakaya Kikwete promised to deal mercilessly with people practising corruption because they were slowing the country's progress. What has he done?" he queried.

He cited the theft of billions of shillings from the Bank of Tanzania (BoT)'s External Payment Arrears account (EPA). He said what President Kikwete did was to give the suspects a deadline to refund the money.

"The theft was a good opportunity for President Kikwete and his government to show us how much they hate corruption… the suspects should have been handled strictly but todate no one has been sentenced," he said.

This, according to Prof Safari, was too lenient because corruption was a major problem not only facing the country, but also the world as a whole and "corrupt people should face the law."He said corruption cases had dragged on for too long with the criminals being released on bail and able to continue without fear of stern legal measures being taken against them.For his part, the CCM ideology and publicity secretary, Mr Nape Nnauye, said the fight against corruption was divided into three categories.

He named them as the preventive and combating law, institutions managing the law and people receiving or soliciting bribes.In view of that, he went on, if the situation was still critical there was a need to overhaul the bodies because they were not putting enough effort to penalise people soliciting and receiving bribes.Meanwhile, the Civic United Front (CUF) national chairman, Prof Ibrahim Lipumba, said the Kikwete administration did not have political will to address the vice "basing on how it dealt with the fraud cases people have mentioned."

"In the radar case people were mentioned, but they were let to go on with their businesses without being prosecuted…these surveys are a waste of public money, if action can't be taken," he said.

Prof Lipumba said some graft suspects mentioned in parliamentary reports were being appointed to other positions by the same person purporting to be fighting corruption.

He was against the report which said that many respondents were of the view that the government was doing enough to fight corruption."When asked to agree or disagree with the statement that the government has neither the desire nor will to fight corruption, 68.4 per cent of households disagreed while only 30 per cent agreed," says part of the report.

By Sylivester Ernest and Rosemary Mirondo, The Citizen
 
Back
Top Bottom