Ripoti: Mtu mmoja hupoteza maisha kila baada ya sekunde 48 kwa njaa Afrika Mashariki

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Aug 2, 2021
1,021
1,608
Mashirika ya kibinadamu yameonya kuwa nchini Ethiopia, Kenya na Somalia, mtu mmoja hupoteza maisha kila baada ya sekunde 48 kutokana na njaa kali inayohusishwa na migogoro, mabadiliko ya hali ya hewa na kupanda kwa gharama ya chakula.

Kwa mujibu wa ripoti ya #Oxfam na #SavetheChildren inakadiria kuwa duniani kote, watu milioni 181 wanakabiliwa na njaa kwa mwaka 2022, huku wanawake wakiathirika zaidi.

Aidha, mashirika hayo yameikosoa jumuiya ya kimataifa kwa kuchelewa kukabiliana na janga hilo

Humanitarian organisations have warned that across Ethiopia, Kenya and Somalia, one person is dying every 48 seconds from acute hunger linked to conflict, the climate crisis and the rising cost of food.

A report by Oxfam and Save the Children estimates that around the world, 181 million people will experience crisis levels of hunger this year, with women particularly affected.

The organisations say starvation is a political failure.

They criticise the international community for responding too late and with too little to prevent "cyclical and predictable" emergencies.

Source: BBC
 
Ni kweli tunakabiliwa na njaa
Ila hiyo report haina ukweli ndani yake
Wazungu mtuache tafadhali…
 
Hizi ndoto sijui kama ni kweli lakini hivyo ndivyo nilivyoota leo. Lakini haiwezelani mimi niwe Mkuu wa Mkoa kwa sababu sijui economics.

Hii ndoto inaniahidi mambo mazuri au nitapata vip treatment ya Iddi Amin?

Halafu sijui wapi naweza kukutana na mtu nimpe zawadi ili niwe Mkuu wa Mkoa.

Sidhani kama Kuna ukweli,

Sent using Jamii Forums mobile app
kuna ukweli mkuu
ethiopia mvua haijanyesha mwaka wa nne
 
Tumeshindwa kutokomeza njaa kitu rahisi kabisa tutaweza nini.
Eti mito inamwaga maji baharini badala ya mashambani.
 
Ni ukweli kabisa tena usiopingika na uliofanyika kwa research. Nchi zilizoendelea huwezi kuskia Upumbavu kama huo kwani walishapita huko miaka mingi na sasa wanaendelea kuboresha maisha ya wananchi wao.

Tumeshindwa kutokomeza njaa. Ni kitu rahisi sana, sasa kama hatuwezi kabisa tutaweza nini?
 
MARADHI, UJINGA & UMASKINI vinaondoka kwa urahisi vikishughulikiwa na WALIOSHIBA (WASIO NA NJAA).

Mfano mzuri tu: Tizama Maisha wanayoishi wenye Fedha.

NJAA ISIKIE TU KWA JIRANI NI ADUI & SILAHA MBAYA SANA YA MAUAJI.
 
WATAFITI NOMA SANA. NAKUMBUKA WALISEMA:
1. Afrika Kusini kila sekunde MTU mmoja anaambukizwa UKIMWI.

2. Afrika Kusini kila DAKIKA MTU mmoja anabakwa.
 
Back
Top Bottom