nickodemus
Member
- Jan 19, 2011
- 7
- 0
Hisabati kwa watoto wa shule za msingi Afrika Mashariki. Ni ajabu kuwa majirani zetu Kenya watoto wao wanawashinda wa hapa kwetu hata kwenye zoezi dogo la Kiswahili!
Ni kweli ripoti inaonesha nchi zote tatu bado zinafanya vibaya ukilinganisha na malengo ya mitaala yao.Hali ni mbaya katika ujifunzaji (learning outcomes) wakati kwa wastani nchi zote zimefanya uwekezaji mkubwa sana kwenye elimu. Sasa tufanyeje? Hivi kweli East Africa federation ama kama ambavyo sasa inapendekezwa, United States of East Africa, itatufaidia? Nimeweka link hizo hapo chini kwa page zenye ripoti ma kurasa nyingine zenye posters zinazofupisha matokeo ya tafiti. Karibuni.
The report and posters and photos from the launch are now on-line on the website: Are our Children Learning: Numeracy and Literacy Across East Africa 2011? :: Our publications :: Media :: Twaweza.org and on Facebook http://www.facebook.com/media/set/?set=a.196172990431242.47721.110627155652493#!/media/set/?set=a.196172990431242.47721.110627155652493 and Twitter: http://twitter.com/#!/Twaweza_NiSisi
Please forward, share, retweet and like.
Ni kweli ripoti inaonesha nchi zote tatu bado zinafanya vibaya ukilinganisha na malengo ya mitaala yao.Hali ni mbaya katika ujifunzaji (learning outcomes) wakati kwa wastani nchi zote zimefanya uwekezaji mkubwa sana kwenye elimu. Sasa tufanyeje? Hivi kweli East Africa federation ama kama ambavyo sasa inapendekezwa, United States of East Africa, itatufaidia? Nimeweka link hizo hapo chini kwa page zenye ripoti ma kurasa nyingine zenye posters zinazofupisha matokeo ya tafiti. Karibuni.
The report and posters and photos from the launch are now on-line on the website: Are our Children Learning: Numeracy and Literacy Across East Africa 2011? :: Our publications :: Media :: Twaweza.org and on Facebook http://www.facebook.com/media/set/?set=a.196172990431242.47721.110627155652493#!/media/set/?set=a.196172990431242.47721.110627155652493 and Twitter: http://twitter.com/#!/Twaweza_NiSisi
Please forward, share, retweet and like.