Ripoti: Migogoro inakwamisha Watoto Milioni 222 kupata Elimu

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Idadi ya Watoto wanaohitaji msaada katika Elimu Duniani imeongezeka kutoka Milioni 75 iliyokadiriwa mwaka 2016 kufikia Milioni 222. Kati yao, Milioni 78.2 hawapo Shuleni kabisa na takriban Milioni 120 wanasoma lakini uwezo wao upo chini ya kiwango

Inaelezwa kuwa, 85% Watoto wanaokosa fursa ya Elimu wapo katika Nchi zenye migogoro ya muda mrefu zikiwemo Afghanistan, Ethiopia, Mali, Nigeria, Pakistan, Somalia, Sudan Kusini, Sudan, DR Congo na Yemen

========

A new UN report released on Tuesday revealed that the number of crisis-impacted school-aged children requiring educational support has grown from an estimated 75 million in 2016, to 222 million today, WAM reports

The UN global fund for education in emergencies and protracted crises, Education Cannot Wait (ECW), outlined that, of those 222 million girls and boys, as many as 78.2 million are out of school, and close to 120 million who are in attendance are not achieving minimum proficiency in math or reading. In fact, just one in ten crisis-impacted children attending primary or secondary education are actually meeting proficiency standards

Around the world, 222 million children are losing out on essential classroom time. Their dreams for the future are being snatched away by conflicts, displacement, and climate disasters. The analysis indicated that 84 percent of the children losing out on school are living in areas with protracted crises.
 
Back
Top Bottom