Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,495
- 9,275
Kutokana na udhaifu katika mifumo ya ukusanyaji wa mapato, kuna uwezekano mkubwa wa Serikali kupoteza TZS 265.85 bilioni kutokana na vitendo vya rushwa, udanganyifu na ubadhirifu.
Katika Serikali Kuu, kumekuwa na ongezeko la upotevu wa mapato kutoka TZS 7.70 bilioni kwa mwaka 2018/19 mpaka TZS 38.70 bilioni kwa mwaka 2019/20 ikiwa ni ongezeko la TZS 31.00 bilioni.
Ripoti ya Uwajibikaji 2021
Katika Serikali Kuu, kumekuwa na ongezeko la upotevu wa mapato kutoka TZS 7.70 bilioni kwa mwaka 2018/19 mpaka TZS 38.70 bilioni kwa mwaka 2019/20 ikiwa ni ongezeko la TZS 31.00 bilioni.
Ripoti ya Uwajibikaji 2021